Said Mohamed Saad - Mmiliki wa Home shopping Centre, amwagiwa tindikali!

Ndg Ritz, umesoma contents za hizo links zilizowekwa kwe post ya kwanza kumhusu huyu jamaa?

Nimesoma zote siyo mara ya kwanza kuandikwa humu ukumbini.

Huyu namjua pamoja na ndugu zake, siyo yote yaliondikwa kuhusu yeye ni ya kweli kuna uzushi mwingi lakini kwa nyie mnameza tu.
 
Hiyo sheria ya wapi au fikra zako una uhakika gani na unachokisema hakuna anayejua tuwe na subira tutasikia mengi.

Umetaja mtu kupigwa risasi kwa sababu tu unamchukia kama una ushahidi wowote kuhusu huyu jamaa basi visaidie vyombo vya dola.

Kwa hiyo wewe mtu akiwa mkorofi apigwe risasi ndiyo dawa.

Naona watoto wa Lumumba project mnatoana macho kwasababu ya huyu mfadhili wenu wa chama.
NA BADO
 
Ukweli ni kuwa jinsi Said Mahonda alivyo na kibri na dharau, amejijengea maadui wengi sana katika maisha yake.

Kuna malalamiko mengi kutoka wafanya kazi wake, wafanya biashara wenzake na hata wateja wake. Tatizo lake kubwa ni kuwa kaweka pesa mbele, na hudhani kuwa pesa ndio kila kitu.
Mh naona umeamua kutoa ya moyoni,
 
kikwetete's era=tindikalis era, before yeye haya mambo ilikuwa ni nadra sana, something is wrong, something serious.
 
Mke wa mtu ni sumu. Wakuu nimepewa habari kutoka kwa wahusika wa ndani, kisa kikubwa ni kwamba huyu tajiri alikuwa anamega mke wa mtu.
Tena hapo wamemhurumia wangemtoa kisamvu cha kopo kabisa na picha zikawekwa humu,baasi,halafu hata mwezi wa Ramadhani hauoni?
 
There are currently 4196 users browsing this thread. (138 members and 4058 guests)

Thread imenona haswa.
 
Wakuu,

Kwa muona wangu nadhani huyo kijana aliyemfanyia huyo mfanyabiasha hicho kitendo bila shaka atakuwa ameagizwa kufanya hivyo aidha na mahasimu wa Said Mohamad au wafanyabiashara wenzake.

Katika hali kama hiyo, bwana Said akipata nafuu na kuruhusiwa kutoka hospitali, kwa historia yake ya kuwa mafia daraja la kwanza nchini, naamini lazima atalipiza kisasi kwa hao atakao wahisi kuwa wenda ndio wamemfanyia hilo tukio la kumwagiwa tindikali.

Rai yangu; huyu bwana Said ilipaswa apigwe risasi eneo ambalo lingempoteza kabisa maisha, ila kwa kuwa akijafanyika hicho, basi jitihada zifanywe za kumuondoa tu duniani ili tuepushe madhara makubwa huku uraiani.
Mh hamy- d mbona hamjaanza na mafisadi wenzenu pale Lumumba?kumbe mnapenda kushughulikia wenzenu tu,toeni boriti zenu na nyie!
 
Last edited by a moderator:
Hata India wamewekeana tindikali wanafikiria kuweka sheria kama ni nani auziwe na nani asiuziwe.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

iamini kama sheria itasaidia. Hairuhusiwi popote pale duniani kumiliki silaha (bunduki), ila kuna raia, hususani hapa Tanzania, wanazo bunduki hata za kivita, wamepata nje ya mfumo wa sheria. Hivyo hivyo hata kwa dawa, sare za jeshi n.k.
Bila kuziba mianya, sheria haitakuwa na nguvu yoyote, hasa kwa nchi shamba la bibi kama Tanzania.
 
hivi tindikali ndo nini wakuu,mi nasikiaga tu chumvi miiingi maji kidogo ndo mixa yake,eti kweli eeeh?

Conc. Sulphuric Acid,Nitric Acid,Chromic Acid ni mojawapo ya strong acids. Hukunusa kabisa masomo ya sayansi maishani mkuu?
steveachi naona na wewe ni mhanga wa ule mpango wa mungai wa kubadilisha na kufuta masomo ya sayansi na ufundi shuleni,madhara yake ndio haya.
 
Back
Top Bottom