Ni jambo jema kama kashinda rufaa yake hongera sana Kamanda Lema...jipange kurudi bungeni.
Ingalikuwa hivyo usingalioneka hapa, mbona kwenye ile hoja ya ccm yadoda Kigoma jana hujatoa maoni! Au unaogopa picha ya Wasira?
Ni jambo jema kama kashinda rufaa yake hongera sana Kamanda Lema...jipange kurudi bungeni.
Asante PJ kwa hii taarifa tuondokane na uzushi.
Ni jambo jema kama kashinda rufaa yake hongera sana Kamanda Lema...jipange kurudi bungeni.[Imekuaje leo ukarudi mrengo huu!
Itakuwa hujamjua vizuri Ritz!
Ni jambo jema kama kashinda rufaa yake hongera sana Kamanda Lema...jipange kurudi bungeni.
Ukitazama kwa makini mazingira ya kesi hii utabaini viongozi wa CCM hawakujipanga kisawasawa kushinda kesi hii pasipo kutumia udhaifu wa mahakama au jaji ukipenda.
Leo unazi umeuweka pembeni...Hongera sana bado tutaunganisha nguvu zetu kwenye swala la pensheni zetu.Sheikh Ubwabwa,
Mkuu wangu taarifa nilizonazo ni kwamba kesi yake imekidhi matakwa ya kusikilizwa na mahakama ya rufaa kinachofuata ni kusubiri kupangiwa majaji watatu kwaajili ya usikilizwaji wa hoja za wakili wa Bwana Lema na mapitio ya hukumu yenyewe.Ni wazi hiyo ni hatua kubwa sana wadau wa washeria wanajua hilo na wanaweza kuja hapa kutoa darsa.
Ingawa mimi si mwanasheria lakini knowledge ndogo niliyoipata wakati nasoma [Business law] inatosha kubashiri matokeo ya hukumu ya mahakama ya rufaa itakavyokuwa.
[1] Bwana Lema kafungiwa kutogombea.
Maoni yangu kifungu kilichotumika kumnyima fursa ya kugombea hakina uhusiano na makosa ya Bwana Lema kwa mujibu wa hukumu yenyewe.Bwana Lema hakukutwa na makosa ya kutoa rushwa kwa maana hiyo basi nategemea mahakama ya rufaa itatupilia mbali hoja ya kumfungia.
[2] Ushindi wa walalamikaji [Makada wa CCM
Hoja za makada wa CCM ni kukashifiwa kwa mgombea wao Dr Batilda Buriani hali iliyosababisha mgombea wa chama chao kushindwa.
Maoni yangu ni kama ifuatavyo.
[a] Muathirika mkubwa katika kesi hii ni Dr Batilda Buriani inashangaza sana kama siyo kidogo muathirika mkuu hakutokea mahakamani kuthibitisha,kuonyesha mahakama jinsi alivyozalilishwa na hatimaye kupelekea kushindwa.Natarajia Mahakama ya rufaa itazingatia suala hili na pengine kutupilia mbali ushindi wa makada wa CCM.
Natarajia wakili wa makada wa CCM atakumbana na wakati mgumu wa kuwashawishi majaji wa mahakama ya rufaa ni kwanini shahidi muhimu hakufika mahakamani.Pengine majaji wa mahakama ya rufaa watahoji ni kwanini Dr Batilda mwenyewe hakumshitaki Bwana Lema na badala yake wanajitokeza watu wengine ambao hawakukashifiwa kwa namna yoyote ndiyo wabebe dhamana ya kufungua mashtaka ?.
Ukitazama kwa makini mazingira ya kesi hii utabaini viongozi wa CCM hawakujipanga kisawasawa kushinda kesi hii pasipo kutumia udhaifu wa mahakama au jaji ukipenda.
NB:Mtazamo wangu kuhusiana na Bwana Lema haujabadilika hata kidogo lakini hiyo hainifanyi niache kusema ukweli.
Taarifa nilizonazo ni kwamba rufaa ya Lema imekubaliwa kusikilizwa, sasa ndiyo itapangiwa majaji na tarehe ya kusikiliza.
*Habari ya kushinda kesi ni imagination Sheikh Ubwabwa.
stand to be corrected!*
Naona unamtabilia ushindi na atashinda kweli safi sana.
Ni jambo jema kama kashinda rufaa yake hongera sana Kamanda Lema...jipange kurudi bungeni.
Hii ni kisheria au kwa ndumba...Lema hawezi kushinda kesi hii. Sanasana atafungiwa kugombea cheo chochote katika siasa za Tanzania.
mara hii??? hehehe inaelekea amewabana ile mbaya kitaa mpaka unamtaka BungeniNi jambo jema kama kashinda rufaa yake hongera sana Kamanda Lema...jipange kurudi bungeni.