Billal Saadat
Senior Member
- Nov 30, 2022
- 169
- 356
Kupitia kwenye ukurasa wa Twitter, aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini na Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Kaskazini Godbless Lema ameandika:
“Mh Rais SSH kama akiendelea kujenga Demokrasia yenye sura hii kutoka Moyoni mwake bila hila, bila shaka anaweza kuja kuwa kati ya Rais bora kabisa Tanzania kama sio Africa. Siasa ni ushindani. Katiba bora na Tume huru ya Uchaguzi ndio Majaribu yake muhimu.”
Siku ya leo Umoja wa Wanawake wa Vyama vya Siasa Nchini vyenye usajili rasmi, (ULINGO) waliaandaa mkutano maalum wa kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan katika sherehe zilizofanyika uwanja wa Uhuru Dar es salaam.
“Mh Rais SSH kama akiendelea kujenga Demokrasia yenye sura hii kutoka Moyoni mwake bila hila, bila shaka anaweza kuja kuwa kati ya Rais bora kabisa Tanzania kama sio Africa. Siasa ni ushindani. Katiba bora na Tume huru ya Uchaguzi ndio Majaribu yake muhimu.”
Siku ya leo Umoja wa Wanawake wa Vyama vya Siasa Nchini vyenye usajili rasmi, (ULINGO) waliaandaa mkutano maalum wa kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan katika sherehe zilizofanyika uwanja wa Uhuru Dar es salaam.