Prof. Safari ajiunga CHADEMA; akabidhiwa kadi rasmi leo

Jembe limeingia CHADEMA - SAFI SANA. na tunajua nyuma yake kuna wawili watatu nao watafuata.
 
dk 15 zimeisha kwa mujibu wa cronomita yangu........nimeisimamisha nasubiri uamuzi wa refa (invisible)....maana mda umeshapita
 
Hivi kumbe unamng'aza yule dogo eeehhh; kwenye chaki ya siasa hahaha uwanja mzima kama namba sita vile hata baada Lipumba na Seif Shariff Hamad kujikatia tamaa.

Pale kweli chama cha CUF kimempata mtu isipokua tu Juliasi Mtatiro mwenyewe pale, kama hajali vile, ndio hakubahatika chama chenye future baada ya kujiingiza mkenge na muafaka wa Makamba.

Kigogo wa CUF atatangaza kujiunga na CHADEMA. Most probably Prof. Saffari. Ila CHADEMA wangefanya jitihada kumchukua JULIUS MTATIRO wa CUF, huyu ni jembe sana na anafaa kuwa kwenye chama kikuu cha upinzani Tanzania! Prof. Saffari si influential sana.
 
Kuna tetesi zinadai kutakuwa na jambo jipya ndani ya CHADEMA (wengine wanaita BREAKING NEWS) dakika chache kuanzia sasa.

Tutaendelea kujuzana kinachoendelea. This' not a joke

=============
UPDATES:

Kuna mvua sana jijini Dar, vyombo vya habari kadhaa vimeomba kupewa muda walau ili waandishi waweze kuwasili. Ieleweke kuwa HABARI HII bado itakuwa TETESI, jina na nani anahamia CHADEMA tutafahamu baadae

someni hizi chai za invinsibo:
"Kuna mvua sana jijini Dar, vyombo vya habari kadhaa vimeomba kupewa muda walau ili waandishi waweze kuwasili. Ieleweke kuwa HABARI HII bado itakuwa TETESI, jina na nani anahamia CHADEMA tutafahamu baadae"
 
inafanyikia wapi? ukumbi gani?
CHADEMA HQ, kwa walio Dar mnaweza kutufahamisha; ila taarifa zinadai kuna mvua kubwa. Wanaendelea kuwasubiria waandishi wa vyombo kadhaa ambao wameomba kupewa muda kwani hali ya hewa ni ya mvua leo
 
utata, nimerefesh laptop yangu mpaka sasa imeheng...

hata kama ni kusubiri sasa huku kumezidi kipimo, hapa mikocheni mvua inapiga YES wa hapo kinondoni tujuzeni
 
CHADEMA HQ, kwa walio Dar mnaweza kutufahamisha; ila taarifa zinadai kuna mvua kubwa. Wanaendelea kuwasubiria waandishi wa vyombo kadhaa ambao wameomba kupewa muda kwani hali ya hewa ni ya mvua leo

Nilijua tu mambo ya 01/04/2011:bored::bored::bored:
 
Back
Top Bottom