Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
asije akawa serelii....
au Pius Msekwa, maana amechoka porojo za Makamba na chiligati
asije akawa serelii....
Anxiously Waiting
asije akawa serelii....
au Pius Msekwa, maana amechoka porojo za Makamba na chiligati
01/04/11?
selelii ameonekana jana itv anashika-shika ndama
Mkuu, hisia zangu zilikuwa hivyo. Thread title itabidilika dakika chache zijazoSiyo Prof. Safari tena?? I hope ni yeye................... itakuwa big boost kwa CDM!!
Mkuu, mambo ya April 01 mimi sina. Labda 'one of us' afanye hivyo.Mkuu Invisible wengine hatuajenda kwa babu, BP inapanda na kushuka.
Chonde chonde usijetwambia eti ni 01/04, tafadhali mkuu.
Tunawasubiria kwa News toka ndani ya CDM kwa nyie mlie karibu.Fools' day inaisha saa 4 mkuu. Dakika 5 zimeshapita, nafahamishwa waandishi kadhaa wapo eneo la tukio. Angalia last post hapo huu nilichodokeza
Alafu kanenepa. Mwanzini nilidhani J. Komba...
Invisible, haya baba mshindi wewe maana hapa umewakamata kweli watu!
Duuh...!kweli ngoja ngoja inaumiza matumbo ila pia haraka haraka haina baraka mimi sijui niegemee lipi.Nasubiri
Mkuu mtu unatamani hata umkabe invizibo aseme harakaha ha ha haaaaa anxiety hiyo mkuu