The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
someone to PM me. i have it.
Kuna tetesi zinadai kutakuwa na jambo jipya ndani ya CHADEMA (wengine wanaita BREAKING NEWS) dakika nne kuanzia sasa.
Tutaendelea kujuzana kinachoendelea. This' not a joke
Nshazi-confirm habari sasa, ila wacha kwanza watangaze wenyewe CHADEMA... CHADEMA wamepata mtu muhimu I may say, nadhani kwa mwendo huu wanaelekea kuzuri (kama mambo hayataharibika safarini)Kumbuka pia
Mwendapole hajikwai na subira yavuta kheri.
Nshazi-confirm habari sasa, ila wacha kwanza watangaze wenyewe CHADEMA... CHADEMA wamepata mtu muhimu I may say, nadhani kwa mwendo huu wanaelekea kuzuri (kama mambo hayataharibika safarini)
Invizibo sio huyu mzee kweliNshazi-confirm habari sasa, ila wacha kwanza watangaze wenyewe CHADEMA... CHADEMA wamepata mtu muhimu I may say, nadhani kwa mwendohuu wanaelekea kuzuri (kama mambo hayataharibika safarini)
st. louis.....saa nane na nusu usiku,nimepiga box masaa 12,usininyime usingizi babuu!!!
Nimebadili title, lakini simaanishi NI MOJA KWA MOJA, ni swali ambalo huenda likajibika NDIYO au HAPANA.na wewe invisible umekua kama muvi za kibongo scene moja dakika arba
kama unajua sema tukupe tano kwa kuwazidi chadema spidi... i though JF ni fasta kuliko chochote kile sasa mbona unaslow down?
You are kiddin me!!!!Kigogo wa CUF atatangaza kujiunga na CHADEMA. Most probably Prof. Saffari. Ila CHADEMA wangefanya jitihada kumchukua JULIUS MTATIRO wa CUF, huyu ni jembe sana na anafaa kuwa kwenye chama kikuu cha upinzani Tanzania! Prof. Saffari si influential sana.