TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,890
- 11,288
wote ni muhimu na influencial... asiye muhimu wala influencial ni maalim seif na lipumba kwa kuuza uhuru wa upinzani zenjiKigogo wa CUF atatangaza kujiunga na CHADEMA. Most probably Prof. Saffari. Ila CHADEMA wangefanya jitihada kumchukua JULIUS MTATIRO wa CUF, huyu ni jembe sana na anafaa kuwa kwenye chama kikuu cha upinzani Tanzania! Prof. Saffari si influential sana.