Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,099
Naona hesabu ni janga la kitaifa!
Ongezeko hapa ni shilingi 130,000 (yaani 200,000 ukitoa 70,000). Ongezeko hili ni asilimia 186 (i.e. 185.7 = 130,000x100/70,000). Hiyo 154% sijui mwandishi anaipataje!
Kama lengo ni kusema kiwango kipya ni mara ngapi ya kiwango cha awali....basi angeweza kusema "kiwango kipya cha posho ni zaidi ya mara mbili (au karibia mara tatu) ya kiwango cha awali" na kama ni katika muktadha rasmi sana au ule wa kitaaluma zaidi angesema "kiwango kipya cha posho ni mara 2.86 ya kiwango cha awali"
Hilo lako ndio janga 2.86 ndiyo 286% yangu......nitake radhi ndugu