Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,703
- 36,143
Naungana na bunge kukanusha taarifa za Mh. Mbowe kuwa wabunge wameongezewa mshahara kutoka sh. Milioni 13 mpaka milioni 18.
Kwanza tangu tupate uhuru wa nchi hii serikali haijawahi kumlipa mbunge yeyote mshahara wa milioni 13.
turudi kweli mada.
Jamaa wajanja wamejiongezea posho na sasa kufanya jumla ya sh. Milioni 18 (posho +mshahara).
Kwahiyo bunge limekanusha kimehesabu. Mshahara hawajaongeza ila posho wamefanya kitu juu ya kitu.
Posho
Posho
Posho
Posho.
Kwanza tangu tupate uhuru wa nchi hii serikali haijawahi kumlipa mbunge yeyote mshahara wa milioni 13.
turudi kweli mada.
Jamaa wajanja wamejiongezea posho na sasa kufanya jumla ya sh. Milioni 18 (posho +mshahara).
Kwahiyo bunge limekanusha kimehesabu. Mshahara hawajaongeza ila posho wamefanya kitu juu ya kitu.
Posho
Posho
Posho
Posho.