Pasco
Wanafanya kazi kwa kutekeleza ilani na sera za CCM pamoja na kwamba ni kauli tata bado ina ukweli ndani yake, serikali iliyopo mdarakani ni CCM. Mkuu haya ya wakuu wa wilaya si ya ajabu hata kwenye nchi yenye demokrasia kama Marekani majaji wa chombo kikubwa cha sheria Marekani -US SUPREME COURT upigaji wao wa kura unategemea zaidi jaji alichaguliwa na raisi wa chama gani; wao hawaangalii makunyanzi hivi unafikiri kama majaji wa Supreme Court wangekuwa hawapigi kura kisiasa unafikiri George Bush angekuwa raisi?
Chama
Gongo la mboto DSM- in vacation Puerto Vallarta
Wanafanya kazi kwa kutekeleza ilani na sera za CCM pamoja na kwamba ni kauli tata bado ina ukweli ndani yake, serikali iliyopo mdarakani ni CCM. Mkuu haya ya wakuu wa wilaya si ya ajabu hata kwenye nchi yenye demokrasia kama Marekani majaji wa chombo kikubwa cha sheria Marekani -US SUPREME COURT upigaji wao wa kura unategemea zaidi jaji alichaguliwa na raisi wa chama gani; wao hawaangalii makunyanzi hivi unafikiri kama majaji wa Supreme Court wangekuwa hawapigi kura kisiasa unafikiri George Bush angekuwa raisi?
Chama
Gongo la mboto DSM- in vacation Puerto Vallarta