PM, Hon. Mizengo Kayanza Peter Pinda; Sorry, You are very wrong!

Hivi kweli pasco unataka kuniambia ulikuwa unategemea nini toka kwa mtoto wa mkulima!

Kwa maono yangu ni waziri mkuu bomu we have ever had!
 
Miaka ya nyuma nilikuwa nawaza kuwa Pinda ni mmoja wa viongozi makini,lakini kadiri miaka
ilivyoendelea kwenda nimeona ni kiongozi asiyefaa kabisa,kwani hana hekima hata kidogo
ya kumfanya kuwa waziri mkuu,kama anayo ni kidogo ya kuongoza familia yake tu"maana ni
mropokaji wa pointless kuliko Nape."
Kumbuka maneno ya JK baada ya uteuzi wa Pinda kuwa Waziri Mkuu. Alisema Lowasa, mtangulizi wa huyu Pinda, alikumbwa na AJALI ya KISIASA tu. Kwa maana hiyo Pinda aliupata UwaziriMkuu kiajali tu. Hakuwahi na hajawahi kuonyesha UONGOZI kokote kule. UKRISTO na UTIIFU wake wa kiseminari ulimsaidia pia.
 
Miaka ya nyuma nilikuwa nawaza kuwa Pinda ni mmoja wa viongozi makini,lakini kadiri miakailivyoendelea kwenda nimeona ni kiongozi asiyefaa kabisa,kwani hana hekima hata kidogo
ya kumfanya kuwa waziri mkuu,kama anayo ni kidogo ya kuongoza familia yake tu"maana ni
mropokaji wa pointless kuliko Nape."
na hii iwe reminder kuwa hata huko walikoendelea hakuna viongozi wazuri wala wabaya bali wamezifanya sheria kuwa kama nyenzo za kuwabana hawa wajamaa!
Kwa mfano, unadhani ni mawaziri wangapi wamepita Uingereza mpaka leo lakini wanamkumbuka Churchill waliobakia wanaongozwa na sheria tu. Hili ndilo lilitupotosha kudhani kuwa rais daima angekuwa kama Mwl. Nyerere, PM kama Kawawa na hatukuona haja ya kuweka vipengele vya katiba sasa acha tuyaone. Niambie ni kiongozi gani ambaye alikuwa mzuri kabla na kuingia kwenye 'system' akaendelea hivyo (Magufuli, Tibaijuka, Mwakyembe)????
Bahati mbaya sana ni kuwa hata hiyo Katiba Mpya iko mashakani maana MaDC na RC ndeio wanasaidia kukusanya watoa maoni na ni maoni gani watoe (nafikiri umemsikia Mzee Warioba). Kwa maana hiyo huenda nayo ikaja ileile, hapa ni wewe na mimi kuziacha 'keyboards' na kufanya linalowezekana!

 
Pinda kachemsha, nasubiria kauli toka CDM, CUF, NCCR, LHRC, wanaharakati. So pathetic. Upuuzi huu. Wanahabari wamuhoji mama Anna Kilango a.k.a mama Willy@kumkoma nyani, kuhusu kuwatetea ma RC na DC katika uandaaji wa katiba na kauli ya kilaza Pindwa

Mkuu,
Chama cha NCCR-Mageuzi, tulikwishawaambia watanzania kuhusu tatizo hili. Matharani, katika ilani yetu ya uchaguzi ya mwaka 2010, kuna maelezo yauatayo:

4.1.3 MUAFAKA WA KITAIFA


Ili kuleta maelewano, kudumisha amani, na kuleta utawala bora, chama cha NCCR-Mageuzi kitaanzisha mchakato wa kupata kwanza muafaka wa kitaifa. Muafaka wa kitaifa unajumuisha maridhiano kuhusu maadili ya kitaifa, na makubaliano katika mambo ya msingi yenye maslahi kwa taifa. Aidha katika hoja hii wana NCCR-Mageuzi tunapendekeza taifa letu liwe na muafaka kuhusu misingi mikuu ya utaifa wetu. Misingi hiyo itatokana na mambo ambayo yatakuwa yamekubaliwa na jamii bila kujali chama, dini, kabila, nasaba au jinsia.




Muafaka wa kitaifa utatusaidia kupanua wigo wa fikra zetu kuhusu maadili ya viongozi na ya wananchi. Hivi sasa mjadala kuhusu maadili ya taifa umejali tu suala la ufisadi, lakini hoja hii ni pana kuliko ufisadi. Lazima tuzungumzie malezi ya taifa, misingi na maadili ya malezi hayo, uzalendo wetu na masuala mengineyo.


Vilevile, muafaka wa kitaifa utatuwezesha kuondokana na mfumo wa utawala wa chama dola. Kwa sasa chama kilichopo madarakani ni chama dola kinachotawala kijeshi kupitia Kamati ya Ulinzi na Usalama tangia ngazi ya wilaya hadi taifa. Kwa mfano, bado wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa ni wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama zinazojumuisha wakuu wa vyombo vya dola vya ulinzi na usalama kama vile Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza, Usalama wa Taifa na Jeshi la Mgambo. Wakuu haohao wa Mikoa na Wilaya ni makada wa chama tawala na wakuu wa kamati za siasa za chama tawala katika ngazi zao.


Mfano mwingine ulio hai ni jinsi Tume ya Uchaguzi ya Taifa ilivyofumbikwa na mfumo wa chama kimoja, hali ambayo inaifanya tume isiwe huru. Licha ya kuwa wajumbe wa tume hii walio wengi ni wanachama wa chama kilichoko madarakani kwa sasa, watumishi wa tume ni watendaji wa Wizara ya Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa (TAMISEMI). Hawa wanawajibika kwa wakuu wao na wala si kwa Tume ya Uchaguzi. Muafaka wa kitaifa utatuletea Tume huru ya Uchaguzi.


Hatuna budi kuafikiana (kuwa na muafaka) kwamba licha ya tofauti zetu za kiitikadi yapo musuada ambayo chama chochote kitakachoshika madaraka lazima kiyaheshimu maana hayo ni yetu sote kama taifa.


Soma ilani nzima ukitaka hapa:
NCCR-MAGEUZI BLOG: PAMOJA TUTASHINDA!: Ilani za Uchaguzi
 
Kwa kweli nimesikitishwa na kauli yake,waziri mkuu asiye na busara,ndo maana hawezi kutatua migogoro kwenye jamii,hawezi hata kuchagua maneno ya kuongea kama ''LIWALO NA LIWE'',mwisho 2015 aondoke kwa amani hata akitoka kabla ya hapo itakuwa vizuri sana
 
Wanabodi,

Kila nipatapo fursa, sipendi kabisa kukosa kipindi cha Maswali na Majibu ya Papo kwa Papo kwa Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo, Kayanza, Peter Pinda, ile leo nilikikosa kipindi hiki.

Lakini kupitia taarifa za habari, nimemsikia Mhe. Pinda, akisema kuwa ni jukumu la wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kuhakikisha CCM inashinda chaguzi zote ili CCM iendelee kutawala milele!.

Naombeni wajuzi wa masuala ya utawala, mnirekebishe if I'm wrong!, Kuanzia kwa rais JK na wanasiasa wengine wote ambao japo wamechaguliwa kwa tiketi za vyama, ukishakuwa mtumishi wa umma, paid by taxpayers money, jukumu lako kuu sasa ni kuutumikia umma na sio chama chako!.

Hii inamaanisha rais JK, japo ameshinda kwa tiketi ya CCM, na anaongoza serikali ya Tanzania, na wakati huo huo yeye ndiye Mwenyekiti wa CCM, amechaguliwa kuiongoza Tanzania na Watanzania na sio na wana CCM, hivyo anaongoza serikali ya Tanzania kwa niaba ya Watanzania na kwa manufaa ya Watanzania wote, na sio kwa manufaa ya wana CCM!. (Of the people, by the people and for the people).

JK ndiye rais wa Chadema, ndiye rais wa CUF na ndiye rais wa wasio na vyama kama sisi!. Yeye ndiye rais wa Dr. Slaa, yeye ndiye rais wa Prof. Lipumba, yeye ndiye rais wetu sisi wote kama Watanzania, ni rais wa waliomchagua na pia rais wa wasiomchagua, anatakiwa kufanya kazi kwa kutanguliza maslahi ya taifa mbele na sio maslahi ya chama chake cha CCM!.

Kauli ya Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda bungeni leo kuwa Wakuu wa wilaya na mikoa, wako pale kuhakikishe CCM inashinda chaguzi zote ili itawale milele, haiwezi kupita bila kupingwa!. Hi inamaanisha kuwa viongozi hawa, wako kwa ajili ya kuilinda na kuitetea status quo ya CCM ili iendelee kutawala milele!. This is very wrong kwa tafsiri sahihi ya Public Servants!. Kwa kauli hii ya Pinda, it goes without saying kuwa wakuu wa majeshi yetu, Polisi wetu, mahakama zetu na wakuu na vyombo vya dola, na vyombo vya kiserikali, wanateuliwa ili wahakikishe CCM haishindwi na inaendelea kutawala milele!.

Public Servant, ni mtumishi wa umma, ma RC na ma DC ni viongozi wa serikali, kwa maana hiyo ni viongozi wa umma, na watatimiza majukumu yao kwa maslahi ya umma na sio kwa maslahi ya CCM. Ndio maana Mhe. Tundu lissu aliwakataa hawa wasihusishwe ile tume ya katiba na juzi akasisitizwa hawapaswi kuwamo bungeni!.

Hata wabunge wa kuchaguliwa, ni watumishi wa umma, japo wanateuliwa kwa tiketi za vyama vya siasa, wanachaguliwa na wananchi na sio na vyama vyao, hivyo wakishashinda ubunge, wanakuwa ni watumishi wa watu na sio watumishi wa vyama vyao, hivyo wanapaswa kutekeleza majukumu yao ya kibunge kwa maslahi ya wananchi na sio kwa maslahi ya vyama vyao!. Kama ni kweli, majukumu ya ma RC na ma DC ni kuhakikisha CCM haishindwi, hii ina maana kubwa zaidi katika mustakabali wa mabadiliko halali ya serikali!.

Binafsi yangu, nimesikitishwa na kauli hiyo, and to be honest, nilikuwa na very high hopes kuhusu Pinda, lakini sasa nimeamini, he is good for nothing!, a very disapointing PM!. Kwa vile CCM ni chama tawala, hivyo public servants wana jukumu la kuhakikisha CCM inashinda na kutawala milele!.

Hii inamaanisha hata kama 2015, Watanzania wataamua kuivote out CCM kupitia njia halali ya ballot box, hao public servanys wenye jukumu la kuitumia serikali mpya ya chama kitakachoshinda, wako kwenye mind set ya kuhakikisha lazima CCM inashinda, na jee ikitokea CCM ikashindwa, jee watakabidhi madaraka kwa mshindi halali?!, jee majukumu yao yatabadilika or what does Pinda exactly meant?!.

Kusema ukweli, civic education kuhusu multipartism, inatakiwa kuanzia juu ndipo ishuke chini kwa wananchi wa kawaida!.

Sasa ndio nimeanza kuelewa, no wonder kwa nini jina la Pinda, halitajwi kabisa kabisa katika presidential materials!. Maliza tuu term yako kwa amani, ukaiendeleza ile kampuni yako ya P & P, nami nitakutangazia sana ile asali yako, ila nakuomba Tanzania yetu utuachie kwa amani, hii sio Tanzania ya CCM, CHADEMA au CUF!. Tanzania ni ya Watanzania wote.

Kiukweli, mabadiliko yakija, hizi nafasi za ma DC na ma RC ndizo ziwe za kwanza kufutiliwa mbali!.

Very Disapointed!.

Pasco.

NB. Pasco wa jf, ni Mtanzania wa kawaida ambaye sio mwanachama, mfuasi au mshabiki wa chama chochote cha siasa!. Ni mshabiki wa Utanzania kwa maslahi ya Taifa mbele!.

Pasco hapo ndo kazi ilipo. maana hata waziri mkuu hataki kujishughulisha na elimu ya uraia. akina mimi tutakuwa wapi sasa?. likini maoni yangu ni kuwa hii inatokana na kuwa tuna viongozi wasiojua wanawajibika kwa nani. PM kama angefahamu anawajibika kwa nani asingezungumza maneno rahisi na potoshi kama yale. chukua mfano 2015 chama Y ambacho si CCM either kinashindwa kwa wazi au kwa kuonewa, vurugu inazuka, tunauana tunafikishwa kule kwa mahakama ya wale jamaa, unadhani Pinda kwa maneno kama haya atawekwa nje ya kapu kweli?. kwa maana haya maeno ni makali haya
 
jamani msifanye nianze kuamini vingine...Yaani hadi leo hamfahamu kwamba Mnatawaliwa?..Mlinatak kweli Pinda aseme RC na DC hawahusiki na uchaguzi ama ushindi wa CCM nmiaka yote ya nyuma? aseme kwamba Polisi hawahusiki na ushindi wa CCM miaka ya nyuma?. Amekosea amekosea kakosea kufuata kiapo au mlivyotegemea nyie watawaliwa?

Pinda kakosea - Pinda kakosea, jamani mwee, mlokosea ni nyie ambao mnashindwa kabisa kuchanganua hali halisi viwanjani na mambo yaliyoandikwa kwenye vitabu wakati katiba ya chama inamlazimisha kukitumikia chama. Mliona wapi, fisadi anakamatwa kahujumu uchumi wa nchi anaombwa kujiuzuru kustaafu mapema mchezo umekwisha! Toka kina EL, Jeetu Patel, Mkapa na hata Chenge alosema anavijisenti tu account za nje na akaua watu akiendesha gari amelewa leo bado ni mbunge. Ni fisadi gani la juu alokwisha kamatwa na kufungwa kama kweli kuna sheria?.

Jamani muonyeshwe nini zaidi ujeuri wa wabunge wenu, viongozi wenu hata kina Nape wana jeuri ya kutukana watu siku hizi..Hili li Nchi limeshaoza zamani na mtaendelea kutawaliwa maana umuhmu wa Utawala wowote ni hawa kina kaizali wakuu wa Mikoa na wilaya. Bila kuwatumia hawa kina Kaizali na majeshi, utawala wa Roma ungesimama vipi Ulaya nzima hadi guba ya Urabuni?. Pinda kasema ukweli mtupu na nampongeza kwa kauli hiyo mkae mkijua wazi kwamba Ma RC ma Ma DC watafanya kila mbinu CCM ishinde uchaguzi ujao kama zilizopita - Hamtaki Mnahama!
 
Hehehehe nimeipenda hii...Inaonyesha ni jinsi gani JF ilivyo kuwa kiboko kwa kuweza kumbadilisha Pasco alias.....mpenda magamba :):) na manukato yanayoweza kumrukia pindi Fisadi Lowassa akiweza kuchakachua uchaguzi 2015 na hadi kufikia kutoa kauli kwamba si mfuasi wa chama chochote bali mpenda maslahi ya Watanzania. Sasa ngoja tuingie kazini na M4C ili tukupe kadi rasmi. Hongera sana na natumai micango yako itabadilika na hivyo kuonyesha kipaumbele cha maslahi ya Watanzania badala yale ya magamba

Weekend njema.

Wanabodi,

NB. Pasco wa jf, ni Mtanzania wa kawaida ambaye sio mwanachama, mfuasi au mshabiki wa chama chochote cha siasa!. Ni mshabiki wa Utanzania kwa maslahi ya Taifa mbele!.

 
Mi sioni tatizo la kauli hiyo, sababu hata asingesema adharani wangeendelea kuwatumia gizani bila sisi kujua, uzuri ni kwamba hao wakuu wa wilaya sio pekee wanaopiga kura.
 
mi naona 2liarakisha kuingia kwenye mfumo wa vyama vng..bado sana kwa tz..bado hata viongoz wa juu awajui nn maana ya demokrasia na nn maana ya mfumo wa vyama vng
 
Hakuna laa maana ndani ya bunge hili ila ni laana tu itawapata ...hawakujadili chochote kusaidia wale walio na shida hasa vijijini hakuna dawa wala bara bara .wamevuta posho tu na kukandamiza opposition muda mwingi walijadili cdm kuliko inssues.
hata wao wenyewe kupitia spika amesema wataangalia namna ya kupitisha budget ...walipitisha budget kuu kabla halafu ndio wakaja kupitisha za wizara utaona ni jinsi gani walivyokuwa wanafanya mchezo wa kuigiza
 
Huyu mzee sijui hata kwa nini alipewaa uwaziri maana saa zingine namuona kama hajui nini anafanya maana mambo yake tu anaoneken mfata upepo kutoka mjengoni....
hakuna rais ambaye anataka kua na waziri mkuu mchapa kazi ili wasigombane. marais wetu wanataka waziri mkuu mpole na awe anakubali kila kitu yaani YES MEN. kipindi cha mwinyi alibadilisha mawaziri wakuu watatu [ warioba, malecela na msuya] sababu alikua anapingana nao. yeye ni mzee wa ruksa wakati waziri mkuu walikua sio wazee wa ruksa..
 
Hivi hawa ma RC na DC si ndio Anna Kilalgo aliwatetea kuwa wawemo katika uratibu wa katiba mpya? Fikiria sasa ni upendeleo kiasi gani kwa CCM watakao uonyesha! Vyeo hivi vifutwe kabisa ndani ya katiba

Hawa watavuruga mchakato wa katiba mpya kwa kutaka kuingiza interests za CCM. Pinda is always a disappointing PM. Wanaothani kwamba huyu mzee ana busara wanajidanganya wenyewe.
 
Pasco
Mawazo yako ni sahihi kabisa, hata ambaye hajaenda shule unaona kabisa ambavyo nchi inapelekwa kwa miaka 50 iliyopita kwa Viongozi waliokaribu na wanachi waliotakiwa kuelewa matatizo yao,kuratibu ,kufuatilia na kulinda maslahi ya nchi yetu badala yake wametoa kipaumbele kulinda maslahi ya Chama, dhahabu ziende bila kujali idadi yake sawa,Twiga waende wakiwa hai au wamekufa sawa ,wanafunzi wakae chini sawa,Zahanati kila kijiji zisizo na dawa wala wataalamu sawa .Ilimradi RC,DC,A/TARAFA ,M/KATA Wanachojua kimoja tu Chama kiendele kutawala milele, na utendaji wao utauona chaguzi zinapo karibia.Kama kwa mawazo hayo ya Kiongozi Mkubwa anatoa majibu hayo tutegemee nini miaka 50 ijayo?
 
Wanabodi,

Kila nipatapo fursa, sipendi kabisa kukosa kipindi cha Maswali na Majibu ya Papo kwa Papo kwa Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo, Kayanza, Peter Pinda, ile leo nilikikosa kipindi hiki.

Lakini kupitia taarifa za habari, nimemsikia Mhe. Pinda, akisema kuwa ni jukumu la wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kuhakikisha CCM inashinda chaguzi zote ili CCM iendelee kutawala milele!.


Naombeni wajuzi wa masuala ya utawala, mnirekebishe if I'm wrong!, Kuanzia kwa rais JK na wanasiasa wengine wote ambao japo wamechaguliwa kwa tiketi za vyama, ukishakuwa mtumishi wa umma, paid by taxpayers money, jukumu lako kuu sasa ni kuutumikia umma na sio chama chako!.

Hii inamaanisha rais JK, japo ameshinda kwa tiketi ya CCM, na anaongoza serikali ya Tanzania, na wakati huo huo yeye ndiye Mwenyekiti wa CCM, amechaguliwa kuiongoza Tanzania na Watanzania na sio na wana CCM, hivyo anaongoza serikali ya Tanzania kwa niaba ya Watanzania na kwa manufaa ya Watanzania wote, na sio kwa manufaa ya wana CCM!. (Of the people, by the people and for the people).

JK ndiye rais wa Chadema, ndiye rais wa CUF na ndiye rais wa wasio na vyama kama sisi!. Yeye ndiye rais wa Dr. Slaa, yeye ndiye rais wa Prof. Lipumba, yeye ndiye rais wetu sisi wote kama Watanzania, ni rais wa waliomchagua na pia rais wa wasiomchagua, anatakiwa kufanya kazi kwa kutanguliza maslahi ya taifa mbele na sio maslahi ya chama chake cha CCM!.

Kauli ya Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda bungeni leo kuwa Wakuu wa wilaya na mikoa, wako pale kuhakikishe CCM inashinda chaguzi zote ili itawale milele, haiwezi kupita bila kupingwa!. Hi inamaanisha kuwa viongozi hawa, wako kwa ajili ya kuilinda na kuitetea status quo ya CCM ili iendelee kutawala milele!. This is very wrong kwa tafsiri sahihi ya Public Servants!. Kwa kauli hii ya Pinda, it goes without saying kuwa wakuu wa majeshi yetu, Polisi wetu, mahakama zetu na wakuu na vyombo vya dola, na vyombo vya kiserikali, wanateuliwa ili wahakikishe CCM haishindwi na inaendelea kutawala milele!.

Public Servant, ni mtumishi wa umma, ma RC na ma DC ni viongozi wa serikali, kwa maana hiyo ni viongozi wa umma, na watatimiza majukumu yao kwa maslahi ya umma na sio kwa maslahi ya CCM. Ndio maana Mhe. Tundu lissu aliwakataa hawa wasihusishwe ile tume ya katiba na juzi akasisitizwa hawapaswi kuwamo bungeni!.

Hata wabunge wa kuchaguliwa, ni watumishi wa umma, japo wanateuliwa kwa tiketi za vyama vya siasa, wanachaguliwa na wananchi na sio na vyama vyao, hivyo wakishashinda ubunge, wanakuwa ni watumishi wa watu na sio watumishi wa vyama vyao, hivyo wanapaswa kutekeleza majukumu yao ya kibunge kwa maslahi ya wananchi na sio kwa maslahi ya vyama vyao!. Kama ni kweli, majukumu ya ma RC na ma DC ni kuhakikisha CCM haishindwi, hii ina maana kubwa zaidi katika mustakabali wa mabadiliko halali ya serikali!.

Binafsi yangu, nimesikitishwa na kauli hiyo, and to be honest, nilikuwa na very high hopes kuhusu Pinda, lakini sasa nimeamini, he is good for nothing!, a very disapointing PM!. Kwa vile CCM ni chama tawala, hivyo public servants wana jukumu la kuhakikisha CCM inashinda na kutawala milele!.

Hii inamaanisha hata kama 2015, Watanzania wataamua kuivote out CCM kupitia njia halali ya ballot box, hao public servanys wenye jukumu la kuitumia serikali mpya ya chama kitakachoshinda, wako kwenye mind set ya kuhakikisha lazima CCM inashinda, na jee ikitokea CCM ikashindwa, jee watakabidhi madaraka kwa mshindi halali?!, jee majukumu yao yatabadilika or what does Pinda exactly meant?!.

Kusema ukweli, civic education kuhusu multipartism, inatakiwa kuanzia juu ndipo ishuke chini kwa wananchi wa kawaida!.

Sasa ndio nimeanza kuelewa, no wonder kwa nini jina la Pinda, halitajwi kabisa kabisa katika presidential materials!. Maliza tuu term yako kwa amani, ukaiendeleza ile kampuni yako ya P & P, nami nitakutangazia sana ile asali yako, ila nakuomba Tanzania yetu utuachie kwa amani, hii sio Tanzania ya CCM, CHADEMA au CUF!. Tanzania ni ya Watanzania wote.

Kiukweli, mabadiliko yakija, hizi nafasi za ma DC na ma RC ndizo ziwe za kwanza kufutiliwa mbali!.

Very Disapointed!.

Pasco.

NB. Pasco wa jf, ni Mtanzania wa kawaida ambaye sio mwanachama, mfuasi au mshabiki wa chama chochote cha siasa!. Ni mshabiki wa Utanzania kwa maslahi ya Taifa mbele!.


Sasa wewe angalia hata majina. Sii pinda, sii kiwete, sii dhaifu. Unategemea kitu hapa? Hii nchi inaelekea pabaya ni vizuri kuwa huyo pinda anaendelea kujifunika kwenye blnketi la ccm. Siku yaja na haiko mbali, pinda ataita ccm na mizimu labda ndiyo itakayoitikia. Watanzania wa kweli watakuwa walishaondoka zamani!
 
Wanabodi,

Kila nipatapo fursa, sipendi kabisa kukosa kipindi cha Maswali na Majibu ya Papo kwa Papo kwa Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo, Kayanza, Peter Pinda, ile leo nilikikosa kipindi hiki.

Lakini kupitia taarifa za habari, nimemsikia Mhe. Pinda, akisema kuwa ni jukumu la wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kuhakikisha CCM inashinda chaguzi zote ili CCM iendelee kutawala milele!.

Naombeni wajuzi wa masuala ya utawala, mnirekebishe if I'm wrong!, Kuanzia kwa rais JK na wanasiasa wengine wote ambao japo wamechaguliwa kwa tiketi za vyama, ukishakuwa mtumishi wa umma, paid by taxpayers money, jukumu lako kuu sasa ni kuutumikia umma na sio chama chako!.

Hii inamaanisha rais JK, japo ameshinda kwa tiketi ya CCM, na anaongoza serikali ya Tanzania, na wakati huo huo yeye ndiye Mwenyekiti wa CCM, amechaguliwa kuiongoza Tanzania na Watanzania na sio na wana CCM, hivyo anaongoza serikali ya Tanzania kwa niaba ya Watanzania na kwa manufaa ya Watanzania wote, na sio kwa manufaa ya wana CCM!. (Of the people, by the people and for the people).

JK ndiye rais wa Chadema, ndiye rais wa CUF na ndiye rais wa wasio na vyama kama sisi!. Yeye ndiye rais wa Dr. Slaa, yeye ndiye rais wa Prof. Lipumba, yeye ndiye rais wetu sisi wote kama Watanzania, ni rais wa waliomchagua na pia rais wa wasiomchagua, anatakiwa kufanya kazi kwa kutanguliza maslahi ya taifa mbele na sio maslahi ya chama chake cha CCM!.

Kauli ya Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda bungeni leo kuwa Wakuu wa wilaya na mikoa, wako pale kuhakikishe CCM inashinda chaguzi zote ili itawale milele, haiwezi kupita bila kupingwa!. Hi inamaanisha kuwa viongozi hawa, wako kwa ajili ya kuilinda na kuitetea status quo ya CCM ili iendelee kutawala milele!. This is very wrong kwa tafsiri sahihi ya Public Servants!. Kwa kauli hii ya Pinda, it goes without saying kuwa wakuu wa majeshi yetu, Polisi wetu, mahakama zetu na wakuu na vyombo vya dola, na vyombo vya kiserikali, wanateuliwa ili wahakikishe CCM haishindwi na inaendelea kutawala milele!.

Public Servant, ni mtumishi wa umma, ma RC na ma DC ni viongozi wa serikali, kwa maana hiyo ni viongozi wa umma, na watatimiza majukumu yao kwa maslahi ya umma na sio kwa maslahi ya CCM. Ndio maana Mhe. Tundu lissu aliwakataa hawa wasihusishwe ile tume ya katiba na juzi akasisitizwa hawapaswi kuwamo bungeni!.

Hata wabunge wa kuchaguliwa, ni watumishi wa umma, japo wanateuliwa kwa tiketi za vyama vya siasa, wanachaguliwa na wananchi na sio na vyama vyao, hivyo wakishashinda ubunge, wanakuwa ni watumishi wa watu na sio watumishi wa vyama vyao, hivyo wanapaswa kutekeleza majukumu yao ya kibunge kwa maslahi ya wananchi na sio kwa maslahi ya vyama vyao!. Kama ni kweli, majukumu ya ma RC na ma DC ni kuhakikisha CCM haishindwi, hii ina maana kubwa zaidi katika mustakabali wa mabadiliko halali ya serikali!.

Binafsi yangu, nimesikitishwa na kauli hiyo, and to be honest, nilikuwa na very high hopes kuhusu Pinda, lakini sasa nimeamini, he is good for nothing!, a very disapointing PM!. Kwa vile CCM ni chama tawala, hivyo public servants wana jukumu la kuhakikisha CCM inashinda na kutawala milele!.

Hii inamaanisha hata kama 2015, Watanzania wataamua kuivote out CCM kupitia njia halali ya ballot box, hao public servanys wenye jukumu la kuitumia serikali mpya ya chama kitakachoshinda, wako kwenye mind set ya kuhakikisha lazima CCM inashinda, na jee ikitokea CCM ikashindwa, jee watakabidhi madaraka kwa mshindi halali?!, jee majukumu yao yatabadilika or what does Pinda exactly meant?!.

Kusema ukweli, civic education kuhusu multipartism, inatakiwa kuanzia juu ndipo ishuke chini kwa wananchi wa kawaida!.

Sasa ndio nimeanza kuelewa, no wonder kwa nini jina la Pinda, halitajwi kabisa kabisa katika presidential materials!. Maliza tuu term yako kwa amani, ukaiendeleza ile kampuni yako ya P & P, nami nitakutangazia sana ile asali yako, ila nakuomba Tanzania yetu utuachie kwa amani, hii sio Tanzania ya CCM, CHADEMA au CUF!. Tanzania ni ya Watanzania wote.

Kiukweli, mabadiliko yakija, hizi nafasi za ma DC na ma RC ndizo ziwe za kwanza kufutiliwa mbali!.

Very
Disapointed!.

Pasco.

NB. Pasco wa jf, ni Mtanzania wa kawaida ambaye sio mwanachama, mfuasi au mshabiki wa chama chochote cha siasa!. Ni mshabiki wa Utanzania kwa maslahi ya Taifa mbele!.


I can feel your DISAPPOINTMENT my good friend.

Kusema kweli siku hizi Pinda ana kauli ambazo hazipendezi, za mkatomkato na dharau nyingi.
Hata kauli yake jana kuhusu magari machakavu.
Kwa kweli mtu mwenye akili huwezi ukasema kuwa "sisi tulikuwa na nia njema kwani magari machakavu yanasababisha ajali, lakini kwa vile wabunge wengi wameng'ang'ania basi, serikali haina kigugumizi".

Hivi kweli mambo mangapi ya msingi wabunge wameyakataa ama kuyaomba lakini hayakupitishwa? sasa hili linaloonekana kuwa hatari na ambalo litasababisha ajali waziri mkuu anaokubali libadilishwe ili watanzania tufe tu? tumefikia hapo kweli?
Yaani maamuzi ya busara bungeni na serikalini hakuna, viongozi wetu wamechoka kufikiri na kufanya maamuzi ya busara na ya msingi? HIVI KWELI KAMA MAGARI MACHAKAVU ni mabaya kwa nini yaruhusiwe? mbona watu waling'ang'ana Ngeleja na wenzie na yule waziri wa maliasili wachukuliwe hatua lakini hadi sasa WANAPETA tu?

To be very honest Pinda ulikuwa chaguo la wengi kwa urais 2015, lakini kila siku zinavyoenda undhihirisha UDHAIFU.

Hii nchi imepotea, nchi yetu Tanzania haipo tena. Ni ponda mali kufa kwaja ama" potelea mbali, mali ya gavurumenti"!
 
Back
Top Bottom