Habari toka mkutanoni kati ya waziri mkuu na madaktari zinasema waziri mkuu kawasimamisha kazi katibu mkuu wa wazara ya afya na mganga mkuu huku akimuachia rais kuwatimua waziri na naibu wake.
Chanzo: madaktari walio katika kikao na waziri mkuu.
Habari toka mkutanoni kati ya waziri mkuu na madaktari zinasema waziri mkuu kawasimamisha kazi katibu mkuu wa wazara ya afya na mganga mkuu huku akimuachia rais kuwatimua waziri na naibu wake.
Chanzo: madaktari walio katika kikao na waziri mkuu.
kanyaboya hili mkuu...utaona....aanze yeye Pinda kuachia ngazi...hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nyoni wapiiiiiiiiiiiiii kiburi chako?????????????????????
kwani kwa jairo alimsubiria mkuuMwenye mamlaka ya kumtimua katibu mkuu ni yule aliyemteua,je Pinda ndiye aliyemteua katibu mkuu huyu?
Iweje mtu namba moja anayetakiwa kuachia madaraka awasimamishe wengine?
Habari toka mkutanoni kati ya waziri mkuu na madaktari zinasema waziri mkuu kawasimamisha kazi katibu mkuu wa wazara ya afya na mganga mkuu huku akimuachia rais kuwatimua waziri na naibu wake.
Chanzo: madaktari walio katika kikao na waziri mkuu.
great!
kama yapi aliyokufanya siku za nyuma?? It is impossible to teach an old dog new techniques of hunting!!mmh anatakiwa afanye maamuzi mazito
Habari toka mkutanoni kati ya waziri mkuu na madaktari zinasema waziri mkuu kawasimamisha kazi katibu mkuu wa wazara ya afya na mganga mkuu huku akimuachia rais kuwatimua waziri na naibu wake.
Chanzo: madaktari walio katika kikao na waziri mkuu.