nafikiri hii ni hatua ya muda na muhimu katika kuokoa maisha ya wagonjwa but it come to late , ni muhimu kutenga budget kubwa ya afya na kuhakikisha fedha zinafika kwa walengwa kwa wakati, lazima pia serikali ilipe fidia kw a wagonjwa wote waliopoteza maisha kutokana na mgomo kwani vifo vyao vigeweza kuepukika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.