Kbd
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,260
- 447
Leo amepata wapi mamlaka ya kuwasimamisha kama alishindwa kwa Jairo?
Jamani tuwe makini na taarifa tunazotoa..Coz kama ameweza kumsimamisha kazi huyu wa afya ilikuwaje akashindwa ile ya Jairo..
Na mimi nimejiuliza maswali hayo hayo.........
PINDA must step down today...
Ni kweli