hahahaa kweli mmemchokaSafi,go to hell mama blandina
Hapa kuna double standard. Katibu mkuu Nishati na Madini (Jairo) alikosa mamlaka ya kumsimamisha kazi imekuwaje wa Afya aweze? Au Nishati na Madini ina mwenyewe?
Hana mamlaka hayo.........mmeshasahau ya JAIRO?
Hapa kuna double standard. Katibu mkuu Nishati na Madini (Jairo) alikosa mamlaka ya kumsimamisha kazi imekuwaje wa Afya aweze? Au Nishati na Madini ina mwenyewe?
Je wale Ma Dr waliogoma kurudi kazini imekuwaje? amefuta kauli yake au kapotezea? Huyo Nyoni atapewa ubalozi au ukuu wa mkoa soon. Raisi wetu huwa hajui kufukuza watumishi wake.
Kwa hiyo ameahirisha kufukuza madaktari waliogoma? Au alikuwa anatania tu
Kazi imeanza, JK tunasubiri hatua zaidi vinginevyo ukishindwa kumaliza itakuwa imetokota kwenye 0°C.
Hapa kuna double standard. Katibu mkuu Nishati na Madini (Jairo) alikosa mamlaka ya kumsimamisha kazi imekuwaje wa Afya aweze? Au Nishati na Madini ina mwenyewe?
Hapa kuna double standard. Katibu mkuu Nishati na Madini (Jairo) alikosa mamlaka ya kumsimamisha kazi imekuwaje wa Afya aweze? Au Nishati na Madini ina mwenyewe?