Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
Siasa za kilevi...!!!
Habari toka mkutanoni kati ya waziri mkuu na madaktari zinasema waziri mkuu kawasimamisha kazi katibu mkuu wa wazara ya afya na mganga mkuu huku akimuachia rais kuwatimua waziri na naibu wake.
Chanzo: madaktari walio katika kikao na waziri mkuu.
cjui leo nimeamkaje! Nimeenda mahala asubuhi kufuatilia ela yangu nkapata na ziada,nkafungua tv nkakutana na bunge linakubali marekebisho yaliyowatoa wanacdm na ncrr bungeni,nafungua tbc nkaona pinda kwa niaba ya jk amewatimua dkmkuu na katibu mkuu nyoni ili madaktari wawe na amani ktk magumzo...nadhani leo ni siku njema kwangu...eeh na uyu mdada aliyenikataa hata hapokei cmu ,sasa naona anabip sasa ivi, mh mungu ni mwema leo. Ngoja nikamalizie kazi...leo ni furaha kwangu...jk nisaidie uwatimue na mawazir
Habari toka mkutanoni kati ya waziri mkuu na madaktari zinasema waziri mkuu kawasimamisha kazi katibu mkuu wa wazara ya afya na mganga mkuu huku akimuachia rais kuwatimua waziri na naibu wake.
Chanzo: madaktari walio katika kikao na waziri mkuu.
Leo amepata wapi mamlaka ya kuwasimamisha kama alishindwa kwa Jairo?
Habari toka mkutanoni kati ya waziri mkuu na madaktari zinasema waziri mkuu kawasimamisha kazi katibu mkuu wa wazara ya afya na mganga mkuu huku akimuachia rais kuwatimua waziri na naibu wake.
Chanzo: madaktari walio katika kikao na waziri mkuu.