Pinda ashindwa kupelekea madaktari wanajeshi ktk hospitali za DSM

KABLA SIJACHANGIA NAULIZA .....HIVI HUYU PINDUA BADO WANAMWITA MTOTO WA MKULIMA???

NATAKA KUCHANGIA ..........LAKINI BADO NATAKA KUDADISI

HIVI HUYU PINDUA YUKO KUNDI GANI KUELEKEA 2015?

1. LA LOWA SANA?
2. LA BEE NA IDD MAEMBE?
3. LA KINA-WAPAMBANAJI CHINI YA SAA MWELI SI TAA?
4. au LA DOGO LA ZARAU MALA-NDOO?

Sasa nachangia ( Alinekera kweli kweli=PM hatuna!!)
 
Unaongea kama baba yako na mama yako kijijini wanaishi nyumba ya ghorofa na wakiumwa ambulance inawafata kuwawaisha airport kuelekea Apollo India.

unaongea kama vile wewe ni mmoja hao murders (waliovaa ngozi ya udaktari, uwaziri, ukatibu mkuu, n.k.)
 
It seems PM Pinda's directive of yesterday has not been implemented and the strike is continuing. The President then has little choice other than to FIRE THIS GANG OF FOUR [Mponda; Nkya; Nyoni & Mtasiwa] with immediate effect. They have failed to manage the Ministry of Health and in fact they should tender their resignation if they have any integrity rather waiting to be fired by the President.

New officers should be appointed and Doctors should then terminate their strike action to give the new team time to act and clean up the mess at this Ministry. They wll need at least six months to clear this mess and doctors should be patient and participate fully in the clean up exercise.

Listening to the PM Pinda yesterday although he tried to be as convincing as possible, I felt he was a bit naive and he was being manipulated by his officers. I felt also he was stooping too low for a PM when he started to attack personally the leader of the Doctors - Dr. Ulimboka. Primeministers should avoid being pesonal in such matters!
 
Kila siku nasema nchi hii imejaa Ubinafsi na Uoga. Hii ndiyo ilikuwa nafasi kwa wananchi, wafanyakazi wote kugoma na kuandamana mpaka mabadiliko yatokee

Kweli kabisa kwasasa ilikuwa kwa kila mtanzania kujitokeza na kuwaunga madaktari bila kujali itikadi za chama kwasababu tunaotibiwa ni wananchi na tunatibiwa bila kujali itikadi zetu. Hivyo tungewaunga mkono, kwani wanatutetea ili huduma ziwe bora pamoja na kuwa wanataka posho, mishahara yao iongezwe lakini hapohapo wanataka hospitali ziwe na huduma nzuri madawa yawepo, vitanda vya kutosha. Na wanaostahili kupewa huduma bure wapate bila kuambiwa labda dawa hakuna kanunue mwenyewe. Madaktari wanatutetea sisi wananchi lakini umbumbu wetu na bila kujali tunawaona hawafai. Hao viongozi wanaonekana wanafaa wao wanatibiwa nje. Tungeamua kuandamana nchi nzima japo kwa siku moja kuwaunga madaktari wetu. Pinda hana lolote ukifuatilia historia yake tangu apate uwaziri mkuu ameongea mengi ya uongo na anaposhindwa uanza kulia ili aonewe huruma ooh nilikuwa na uchungu sana(kumbuka kuhusu albino) Kama alikuwa nauchungu sana na albino na kutoa amri kuwa atakayepatikana na kosa la kuua albino auwawe, iweje leo anashindwa kutekeleza madai ya madaktari. Ili raia zaidi ya 10-20 wasife kila siku. Ina maana alikuwa na uchungu sana na albino wawili kuliko raia 10?
 
Mwenyekiti wa chama cha manesi Muhimbili amesema hawako tayari kufanya kazi na madaktari wa kutoka jeshini ikiwa watapelekwa hospitalini hapo. Hii ni kutokana na wanajeshi hao kutokujua kufanya kazi na wao vizuri walipopelekwa hapo katika mgomo uliopita.

source: taarifa ya habari Ebony FM.
 
Huyu pm mbna watu wakufa na hatoi machoz? Kile kipind ilikuwa ni unafik mkubwa kujitia kulia et albino wanauawa. Sasa wao ndo wauaji
 
nikikumbuka jana alivyokuwa anaongea kwa jazba na leo hii madaktari wameendeleza mgomo wao wamsingi na wanajeshi hawajapatikana! hapa ndipo tunapohoji kama kweli serikali iko serious na kile wanachokisema au laa au ni mkwara tu
 
kweli kabisa kwasasa ilikuwa kwa kila mtanzania kujitokeza na kuwaunga madaktari bila kujali itikadi za chama kwasababu tunaotibiwa ni wananchi na tunatibiwa bila kujali itikadi zetu. Hivyo tungewaunga mkono, kwani wanatutetea ili huduma ziwe bora pamoja na kuwa wanataka posho, mishahara yao iongezwe lakini hapohapo wanataka hospitali ziwe na huduma nzuri madawa yawepo, vitanda vya kutosha. Na wanaostahili kupewa huduma bure wapate bila kuambiwa labda dawa hakuna kanunue mwenyewe. Madaktari wanatutetea sisi wananchi lakini umbumbu wetu na bila kujali tunawaona hawafai. Hao viongozi wanaonekana wanafaa wao wanatibiwa nje. Tungeamua kuandamana nchi nzima japo kwa siku moja kuwaunga madaktari wetu. Pinda hana lolote ukifuatilia historia yake tangu apate uwaziri mkuu ameongea mengi ya uongo na anaposhindwa uanza kulia ili aonewe huruma ooh nilikuwa na uchungu sana(kumbuka kuhusu albino) kama alikuwa nauchungu sana na albino na kutoa amri kuwa atakayepatikana na kosa la kuua albino auwawe, iweje leo anashindwa kutekeleza madai ya madaktari. Ili raia zaidi ya 10-20 wasife kila siku. Ina maana alikuwa na uchungu sana na albino wawili kuliko raia 10?

sasa ni wakati watanzania tuamke, tuandamane.

hapa tufanye kitu, tuanzishe text message na tuforwadiane.

Kila mtu amforwardie rafiki na ndugu yake, hatimae watu wote tanzania tutapata, hasa vijijini
 
Huko jeshini wataenda kuimport madaktari wengine tokea China...labda wanathani itakuwa cheap labour kama walivyozoea.

Kazi kwelilkweli embu tuambiane ukichukua madaktari kutoka China ambao hawajui Kingereza wala kiswahili si ndio tutaongeza tatizo.
 
katika kuthibitisha ukosefu wa umakini ndani ya serikali, mchana huu mwandishi wa Clouds Redio ameripoti kuwa wagonjwa katika hospitali ya Muhimbili hawakupata huduma yeyote ikiwemo kushuhudia zaidi ya ambulance 7 zikileta wagonjwa toka hospitali mbali mbali na kulazimika kuondoka na wagonjwa wao kutokana na kukosekana kwa huduma katika hospitali hiyo. Hii inashiria kuwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameshinde kutekeleza ahadi yake kupelekea madajatari toka JWTZ na JKt akama alivyoahidi jana wakati akitoa kauli za dharau dhidi ya madakatari wanaogoma.

My take: Tukumbuke kiini cha mgogoro huu ni madakatari walioko mafunzoni yaani interns katika hospitali ya Muhimbili kunyanyaswa na uongozi wa Wizara ya Afya hivyo kutakiwa Waziri Dr Haji Mponda, Katibu Blandina Nyoni na Mganga Mkuu Ngd Deo Mtasiwa kuondolewa mara moja kwa kuishawishi serikalim kuchukua hatua za kionevu dhidi ya madakatari hao waliokuw akatika mafunzo. Ni kwanini Serikali inakubali watanzania wafe katika kuwalinda wazembe watatu?

Ni imani yangu watatu hao wakiondolea hata leo madakatari walioko katika mgomo watakuwa tayari kuzungumza na serikali kuhusu madaia yao.

Haaa..!!!! Kumbe hawakutii AGIZO la kuwataka kurejea KAZINI? Aliyetoa hilo agizo anasemaje?

 
Nani anakubali watanzania wafe? Kama ni hukumu, basi huwa kuna hukumu 1st hand murder & 2nd hand murder. Hapa nadhani 1st-hand murders ni nyinyi madaktari msiowahudumia hao wagonjwa na 2nd-hand murders ni hao wengine. Wekeni ubinadamu mbele ..
wewe ni mgonjwa au la wewe ni Gamba,unasemaje?hiyo mizigo iliyoko huko wizara ya afya huioni?na kinachofanya Nyoni aonekane kama ndio mmiliki wa wizara ya afya ni nini?na hao mawaziri wanafanya nini hapo,huyo mganga mkuu juzi tu katoka kufanya madudu ya Reagents za HIV bado havijapoa kalizua jingine na bado mnakinga kifua,kwanini huangalii chanzo cha tatizo?
 
Kazi kwelilkweli embu tuambiane ukichukua madaktari kutoka China ambao hawajui Kingereza wala kiswahili si ndio tutaongeza tatizo.

Kwanini wasielewane na hawa hawa wa Bongo? Kukimbilia kutafuta "mbadala wao" ni kukuza zaidi tatizo!
 
Serikali yetu imedhihirisha kuwa haina akili. Mtu kama Pinda si mtu wa kumchukulia serious. Yeye anatumika tu but hata hivyo anatakiwa kuwa moral. Wenyewe wabunge kujiongezea posho pesa ipo lakini inapokuja kwa watumishi wengine ......madai yenu yanazungumzika but serikali haina pesa. USHUZI MTUPU.
Kagame anatafuta madaktari na wala hawahitaji VIZA kuingia Rwanda. Wakifukuzwa then tutawachangia nauli ya kuwafikisha Kigali, si ajabu Kagame anaweza kutoa hata usafiri wa ubwete ili awapate hawa wataalamu wetu.
Serikali haioni umuhimu wa hawa wataalamu bali wanaona wabunge ndiyo wa maana.
 
Hakuna suala la udogo au ukubwa hapa mtu ukiwa kiazi ni kiazi tu kwa mfano hapa PM ni kiazi wa hakuna kuogopa PM ni Kiazi

asa hapo amechemka nini sasa, kwamba ataleta sojas? unataka kusema hawezi au hawapo, wale wakiingia ni kazi tu, co km hawa matozi wetu, kidogo kaenda chai, mara anabofya tablet, kazi ya dkk 50 anafanya siku nzima
 

Haaa..!!!! Kumbe hawakutii AGIZO la kuwataka kurejea KAZINI? Aliyetoa hilo agizo anasemaje?


hayo ndo maneno sasa, funguka tujue ukweli kuwa B N ndo hatakiwi, lakin hili ndo mngeliweka kipumbele nafikiri hata PM asingeongea aliyoongea
 
katika kuthibitisha ukosefu wa umakini ndani ya serikali, mchana huu mwandishi wa Clouds Redio ameripoti kuwa wagonjwa katika hospitali ya Muhimbili hawakupata huduma yeyote ikiwemo kushuhudia zaidi ya ambulance 7 zikileta wagonjwa toka hospitali mbali mbali na kulazimika kuondoka na wagonjwa wao kutokana na kukosekana kwa huduma katika hospitali hiyo. Hii inashiria kuwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameshinde kutekeleza ahadi yake kupelekea madajatari toka JWTZ na JKt akama alivyoahidi jana wakati akitoa kauli za dharau dhidi ya madakatari wanaogoma.

My take: Tukumbuke kiini cha mgogoro huu ni madakatari walioko mafunzoni yaani interns katika hospitali ya Muhimbili kunyanyaswa na uongozi wa Wizara ya Afya hivyo kutakiwa Waziri Dr Haji Mponda, Katibu Blandina Nyoni na Mganga Mkuu Ngd Deo Mtasiwa kuondolewa mara moja kwa kuishawishi serikalim kuchukua hatua za kionevu dhidi ya madakatari hao waliokuw akatika mafunzo. Ni kwanini Serikali inakubali watanzania wafe katika kuwalinda wazembe watatu?

Ni imani yangu watatu hao wakiondolea hata leo madakatari walioko katika mgomo watakuwa tayari kuzungumza na serikali kuhusu madaia yao.

Hii inaonesha ni jinsi gani viongozi wa Tanzania walivyo out of touch!. Kwa akili zao wao wanadhani kuwa unaweza kumtoa daktari Lugalo ukamleta muhimbili akaanza kazi on spot. Kama ingekuwa hivyo basi kusingekuwa na haja ya kuwa na kumbukumbu za matibabu, medical equipment etc. Kusema unampekeleka mtu mgeni sehemu asiyojua kifaa kipi kipo wapi mgonjwa yupo anaumwa nini na alitibiwa mpaka hatua gani ni akili za kuagizwa...
 
Pinda hana akili ,anatumia masaburi kifikiri ndio maana anaongea upupu kila siku.Waziri mkuu asiyekuwa na mamlaka,afadhali mwezake aliyemtangulia EL japo alikuwa anatuhumiwa kuwa ni mwizi.
 
Back
Top Bottom