mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
je huyu pm yupo kundi lipi?
yupo kundi la viongozi LEGELEGE.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
je huyu pm yupo kundi lipi?
Najiuliza hao madaktari kutoka jeshini huwa wapo tu hawana kazi?what i know wanatumika ktk hospitali za huko/jeshini. Sasa ukiwaondoa what next?na ni wengi kiasi hiko? kauli nadhani ilitoka kwa jazba
Hawa wakubwa wana lugha za kilaghai na maneno ya kijanja tena wanafiki kabisa, mtu anazungumza utafikiri jambo analozungumza ni rahisi tuu!!! Mipango yao mingi ni ndoto za Alinacha, kujenga hekalu mwezini. Sasa nimeamini Tanzania hakuna mzima tuna viongozi wasanii kwelikweli, tunamuomba mheshimiwa PM Pinda akae chini apange mipango mizuri ya kutatua madai ya Madaktari. Yeye ni mtu mkuu tunamuheshimu aache porojo!!!! Kama hajui kuna kipindi nchini USA walitoa tangazo kuwa wanahitaji madaktari 400 toka hasa TANZANIA!!!!!!!!!!mkuu bora umeturudisha kwenye hoja ya msingi, maana PM yeye anaongea tu kuwa anaweza kureplace doctors wote wakati serikari hiyo hiyo imeshindwa kupeleka hata madawa kutoka MSD lakini haisiti kuja na ahadi kubwa within 24hrs!!!
Kama kuna mtu anayeweza kutathmini hasara iliyosababishwa na mgomo mpaka sasa ndio atajua kuwa kuondoka kwa Mh. Mponda, Nyoni, Mtasiwa nk ilikuwa ni nafuu sana kwa taifa.
Namshauri PM (japo mimi ni mtu mdogo sana na siwezi hata kumkaribia) aache porojo na ku-victimize viongozi wa mgomo badala yake ashughulikie madai kama ni ya kweli na kama sio ya kweli basi atwambie maana yeye ni juzi tu wakati wenzie wanaenda Apollo India yeye alienda London kucheck afya yake!
Nani anakubali watanzania wafe? Kama ni hukumu, basi huwa kuna hukumu 1st hand murder & 2nd hand murder. Hapa nadhani 1st-hand murders ni nyinyi madaktari msiowahudumia hao wagonjwa na 2nd-hand murders ni hao wengine. Wekeni ubinadamu mbele ..
pinda ana weakness ya kutumia feelings zaidi ktk maamuzi kuliko hali halisi!