Pinda ashindwa kupelekea madaktari wanajeshi ktk hospitali za DSM

Ma CCM bwana thamani kamavile ngozi ya Kitimoto maana huwezi itumia hata kuwambia ngoma ikatumikakupigwa .Nimeshangaa na mawazo hayo ya Pinda na maamuzi yake .
 
Pinda unatakiwa kutumia busara badala ya vitisho. Hao mawaziri wa ulinzi na wa mambo ya ndani pamoja na mapolisi ndio kweli uliwaandaa kuwa timu yako kwenda kutatua matatizo madaktari ??Au ulitaka kuwatisha!!? Hii ni aibu kwako wewe pamoja na serikali yako. Uko tayari kuhalalisha posho kubwa ya wabunge, lakini kutumia busara yako kutatua hili swala linakushinda, badala yake unaleta hadidhi za kupeleka wanajeshi kutoa tiba. Kweli mtoto wa mkulima umewachoka watanzania.
 
Pinda aende sasa muhimbili akasaidiane na mapolisi wake kuwatibu wagonjwa...godamn it......na bado...manesi nao wanaanza mgomo....shitless government....

mgomo uko kwenye hospital za dar kubwa tu au zote...maana wife amelazwa kwe hospital moja hapo dar na anasema anahudumiwa vizuri tu
 
katika kuthibitisha ukosefu wa umakini ndani ya serikali, mchana huu mwandishi wa Clouds Redio ameripoti kuwa wagonjwa katika hospitali ya Muhimbili hawakupata huduma yeyote ikiwemo kushuhudia zaidi ya ambulance 7 zikileta wagonjwa toka hospitali mbali mbali na kulazimika kuondoka na wagonjwa wao kutokana na kukosekana kwa huduma katika hospitali hiyo. Hii inashiria kuwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameshinde kutekeleza ahadi yake kupelekea madajatari toka JWTZ na JKt akama alivyoahidi jana wakati akitoa kauli za dharau dhidi ya madakatari wanaogoma.

My take: Tukumbuke kiini cha mgogoro huu ni madakatari walioko mafunzoni yaani interns katika hospitali ya Muhimbili kunyanyaswa na uongozi wa Wizara ya Afya hivyo kutakiwa Waziri Dr Haji Mponda, Katibu Blandina Nyoni na Mganga Mkuu Ngd Deo Mtasiwa kuondolewa mara moja kwa kuishawishi serikalim kuchukua hatua za kionevu dhidi ya madakatari hao waliokuw akatika mafunzo. Ni kwanini Serikali inakubali watanzania wafe katika kuwalinda wazembe watatu?

Ni imani yangu watatu hao wakiondolea hata leo madakatari walioko katika mgomo watakuwa tayari kuzungumza na serikali kuhusu madaia yao.

Serikali yetu ndivyo ilivyoamua bora wagonjwa kupoteza maisha kuliko kuwatimua hawa wa3 wasiokuwa na msaada kwetu
 
Nani anakubali watanzania wafe? Kama ni hukumu, basi huwa kuna hukumu 1st hand murder & 2nd hand murder. Hapa nadhani 1st-hand murders ni nyinyi madaktari msiowahudumia hao wagonjwa na 2nd-hand murders ni hao wengine. Wekeni ubinadamu mbele ..
Neno ubinadamu lisiwe ngao ya kunyanyasa madaktari. Wao pia wana familia zao zinazowategemea na hawawezi kuewakabidhi kifurushi kinachoitwa "ubinadamu" ili kutatua matatizo yao wanachohitaji ni haki zao halali zitimizwe ili wakidhi mahitaji yao. Ubinadamu haulipi ada wala kodi ya nyumba.
 
katika kuthibitisha ukosefu wa umakini ndani ya serikali, mchana huu mwandishi wa Clouds Redio ameripoti kuwa wagonjwa katika hospitali ya Muhimbili hawakupata huduma yeyote ikiwemo kushuhudia zaidi ya ambulance 7 zikileta wagonjwa toka hospitali mbali mbali na kulazimika kuondoka na wagonjwa wao kutokana na kukosekana kwa huduma katika hospitali hiyo. Hii inashiria kuwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameshinde kutekeleza ahadi yake kupelekea madajatari toka JWTZ na JKt akama alivyoahidi jana wakati akitoa kauli za dharau dhidi ya madakatari wanaogoma.

My take: Tukumbuke kiini cha mgogoro huu ni madakatari walioko mafunzoni yaani interns katika hospitali ya Muhimbili kunyanyaswa na uongozi wa Wizara ya Afya hivyo kutakiwa Waziri Dr Haji Mponda, Katibu Blandina Nyoni na Mganga Mkuu Ngd Deo Mtasiwa kuondolewa mara moja kwa kuishawishi serikalim kuchukua hatua za kionevu dhidi ya madakatari hao waliokuw akatika mafunzo. Ni kwanini Serikali inakubali watanzania wafe katika kuwalinda wazembe watatu?

Ni imani yangu watatu hao wakiondolea hata leo madakatari walioko katika mgomo watakuwa tayari kuzungumza na serikali kuhusu madaia yao.

kwani madaktari wa jeshi wenyewe siyo proffessional drs? hawakusoma kama wa mhimbili? nadhani na wao wanahitaji kuona maisha yao yakibadilika, enzi za uonevu zinaendelea kupungua kila uchwao
 
Kwa nini wasiwaambie wagonjwa waende hospitali za jeshi badala ya kusema madaktari wa hospitali za jeshi waende walikogoma?

Washaurini hao viongozi wautangazie umma kuwa mtu akiugua aende hospitali za jeshi ambazo zipo kila sehemu Tanzania nzima.
 
Madaktari endeleeni kusaini kuwa mpo kazini kama kawaida ila muwaonyeshe kuwa Punda anaweza lazimishwa kwenda mtoni lakini sio kunywa maji, Jana Professor mmoja kanifurahisha sana kwa kuunga mkono hoja zenu karibu zote ingawa anapenda kuwa Anonymously lakini wapo pamoja nanyi wakuu, Hasira za posho za wabunge malizieni kwao hao waliopokea kofia na Tshirt za kijani labda watafunguka macho na kutoa gundi kwenye masikio yao

KAMA SHARI BORA IWE SHARI KAMILI LAKINI MABORESHO YAWEPO
 
..Ukistaajabu ya Musa utaona au utasikia ya firahuni...akiongea na DAILY NEWS Jumatatu...Katibu mkuu wa TUCTA ndugu Nicholaus Mgaya amesema...mgomo huu wa madaktari ni batili na kinyume na utaratibu.

Amesema kitendo chao cha kukataa kuonana na PM kinaenda kinyume na Public Negoating Machinery act of 2003 ambayo inataka pande mbili zinazopingana kukutana na kupata suluhu ya matatizo haraka.

Akaendelea kusema yeye alienda kwenye mikutano ya madaktari siku moja na kuwasihi waonane na PM lakini wakamkatalia..

Akasema "TUCTA isilaumiwe kwa hatua zozote zitakazochukuliwa dhidi ya madaktari,na hatuta kuwa tayari kuwatetea mbele ya watawala" Akasema kwa kuwa wameamua kufuata utaratibu wao wenyewe na sio wanaoshauriwa basi wasilaumiwe kama chama mama cha wafanyakazi.

Mytake:

Kwa mwendo wa vyama vya namna hii vya wafanyakazi,hakika tutaendelea kuwa watu wakulalamika na kuteseka milele.Nimekuwa najiuliza kwanini wafanyakazi wa umma wanapata taabu namna hii? Nini tatizo? mbona vyama vipo? kumbe ni jumuiya ya CCM.Wakati wenzao kama nchi za NIGERIA juzi wafanyakazi chini ya vyama vyao waliungana kuwatetea wananchi...huku kwetu wanaungana na watawala kuwakandamiza wananchi...

Nimekuwa natilia shaka weledi wa Mgaya wa TUCTA na Mkoba wa WALIMU..hawa jamaa wamenunuliwa,haiitaji kuwa na elimu ya darasa la saba kugundua hili,wamekuwa ni watu wa kulalamika kupitia TV, MAGAZETI, RADIO nk bila kuchukua hatua...

Wafanyakazi wa umma wameuzwa!!!

Source : Daily News
 
Huyo alishachakachuliwa siku nyingi,si yule mgaya tuliyekuwa tunafahamu kabla hajapigwa mkwara,hilo ni vuvuzela la serikali,ni boya tu hilo.
 
Serikali hii ni rahisi sana kuwanunua viongozi wa wafanyakazi....na hili linaweza likawa linachangia kwa kiasi kikubwa kutofanikiwa kwa migomo ya kudai haki za wafanyakazi tz(mfano waalimu na watumishi wengine)....

Kama haya kweli yalisemwa na Mgaya basi inasikitisha sana na hii inatakiwa iwe challenge kwa madaktari ambao wanapigania maslahi yao(si ya Mgaya et al)......

Rai kwa viongozi wa madaktari na madaktari woote....please...let you prove them(the government)wrong.....together you will always stand.......sasa mmeona wabunge wamethibitishiwa ongezeko la posho....na nyie kazeni uzi.................
 
Mgaya yumo kwenye payroll ya magamba,hili limejidhihisha,madaktari daini ki vyenu achananeni na huyu Mgaya msaliti mkubwa na ndio maana hata waalimu mpaka leo wanatabika,na hawapati maslahi yao
 
Back
Top Bottom