crazyworld
Member
- Dec 13, 2011
- 42
- 9
Na hilo jeshi likiwa na madaktari wengi kiasi hicho basi jeshi zima ni madaktari. Kweli kiazi hakiwezi kuwa nazi kitaendelea kuwa kiazi tu.Kusema tunamadaktari wa kutosha Jeshini ni sawa na kusema Jeshi letu lina ndege kibao za kivita zinazoweza kuruka wakati wowote.
Hii inaitwa Wishful Thinking.
Tatizo la watu kaa Pinda ni kutumiwa kama ya Ndani jeshini kuna MA na RMA kibao ambao wenyewe wanawaita Madaktari.
Jamaa kaletewa idadi kwa ununda wake wa kushindwa kudadisi hoja kadhanimadkari jeshini ni kibao huyo kaenda kuropoka kwenye vyombo ya habari.
Hivi hao madaktari wa jeshi wakitolewa huko jeshini na kuletwa Muhimbili ni nani atahudumia katika hospitali za jeshi walizoziacha bila madakitari??
Ni siasa zinazo mtuma kuropoka au ni ubabe wa kijima?