Mleli
Member
- Jun 6, 2011
- 90
- 11
Duh tema mate chini.Hawewezi kufika hapa mkuu.Unawatakia maradhi mabaya ya moyo muda huu...
Kwa hiyo nyie ni chama cha mikutano ya mihadhara tuu, hata siku za kazi????
Hata nchi tajiri kiasi gani haitoweza kuendelea kama watu wake hawatofanya kazi.
Nyie wanasiasa kula yenu ni kwenye hiyo mikutano ya hadhara na wananchi je?? acheni ubinafsi, mnaojifanya mnawapenda wananchi?? wewe ukitoka hapo kwenye mkutano umepata chakula cha wanao na wananchi je???