Wanachi makini wakiwasikiliza kwa makini makamanda wao.
Hapa ni salamu za Peoples Power
Sehemu ya pili ya uwanja wa Slaa ikiwa imesheheni wananchi wa Mbeya
Prof. Slaa akiwa anaihubiri katiba ya CHADEMA
Makamanda wakisalimiana na wanachi mara baada ya mkutano
Shughuli ikawa wakati wa kutoka, magari ya makamanda yaringirwa na wanachi na kusindikizwa mpaka hotelini umbali wa kama KM 3 hivi.
Jamaa zetu hawakuwa na la kufanya, kwani bado wanaukumbuka muziki wa wana Mbeya. Waliruhusu hali hii iendelee wananchi wafurahia wana mapunduzi wao.