EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Makinda ni kiherehere tu Nassari alisema ratiba ni kuapishwa trh 11 saa 3 asubuhi na ataondoka Arusha trh 10 yaani leo na habari zilizopo yuko njiani. Haya mengine ni mbwembwe tu Spika hana ujanja wowote zaidi ya kumwapisha mbona Sumari hakuapishwa kwa zaidi ya mwaka mmoja na marupurupu alikuwa anapata kama kawaida.