mchungusana
Member
- Mar 18, 2012
- 74
- 9
CDM jana ilishindwa kuwahudhurisha wabunge wake wapya kuapa bungeni kukwepa aibu ya kutopata coverege ya media kwani vyombo vyote vilikuwa na Kanumba....Sasa inashangaza kuwa walikuwa tayari kukiuka kanuni za Bunge kisa wantafuta muda wa kupata coverege....shame!! Hata hivyo hongera kwa Zitto walau kidogo kwa kuamua kuomba radhi kwa tukio hilo......
Hujui halafu unajifanya unajua kamwe hatuta kujulisha