Anchimba visima
mbunge wa mbulu yuko mjengoni.
Mimi nahisi ni kwa sababu za kiufundi zaidi yaani Babu ameanza mambo yake wewe unasemaje kuhusu hili?
Wabunge wa chama cha demokrasia hawajakuwepo bungeni kwa kuapishwa kikao cha mwanzo.sababu hatujui.je taarifa ya kuapishwa kwao haikuwafikia au la?
Mwenye neno kuhusu kutoapiapishwa kwao aseme.
Narrow mind!Mimi nahisi ni kwa sababu za kiufundi zaidi yaani Babu ameanza mambo yake wewe unasemaje kuhusu hili?