Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Hamna chochote cha kujifunza hapo. Sio kila picha apigwayo au apigayo raisi ina mafunzo.
Wewe ni Great thinker!!
Kama angekuwa baba angeenda kulala siku zote hizo tuko gizani? Angeendelea kutanga tanga dunia nzima akikomba pesa sawa na bajeti ya kujenga vyumba kibao vya madarasa au kulipa walimu kama 500 kwa mwezi? (trip yake inatumia ~50ml wakati mshahara wa mwalimu ni ~200,000/-). Kweli wajinga ndio waliwao!
at this stage i careless kuhusu hizo deal zao...sie tunataka umeme ama sivyo ei ya simenti itatuua
Hivi huoni hoja yako ni ya kijinga?acha kejeli
umeme mitambo ya Dowana na IPTL ipo semanyiemnaojiita wapiganaji hamtaki iwashwe.
hebumpumzisherais wetu sie
JK ni mtu wa WATU. Alitakiwa tu asiwe RAIS MTENDAJI ili aendelee na kazi hizi za kubusu watoto, kutembelea wagonjwa, kuhudhuria misiba, kuzima mwenge,...Awepo WAZIRI MKUU MTENDAJI. Tunaweza kuibadili KATIBA yetu sasa?
Mnafki tuu kama kweli anaupendo na watoto bas angempa msingi bora wa elimu, chakula na malazi,, hiyo yote hapo anatafuta kampeni tu ya mwakani, kwani akimfunga kamba za viatu ndo mtoto atashiba??? hebu tuamke jamani mbona ni jambo dogo tuu??? tumuulize tu huyo dogo kapata mlo gani kwa siku ndo tuweze kumsifia kama kweli ni baba anaejali watoto!!!
waziri mkuu yupo na ndo mtendaji wa serikali. kama hatimizi majukumu yake nafikiri tusimtwishe mzigo rais