Wanooeneza Picha na Habari za uongo kuhusu Kijana Joshua aliyeuawa na Hamas wanafaidika Nini?

Newbies

JF-Expert Member
Jul 13, 2018
1,478
2,149
Nimeshangaaa kuona baadhi ya watu wanashea habari na picha za uongo kuwa kijana molel alijiunga na jeshi la isael, watu Hawa wasio na akili wamekuwa wakituma picha zilizoeditiwa kiasi Cha Mimi kuzifanyia uchunguzi nikabaini Ni upotoshaji, lakini nikajiuliza wanapata faida gani kufanya hivyo? Au ndio athari zenyewe

Kwa utafiti wa haraka haraka picha wanazotuma na kudai zimechapishwa katika tovuti ya thetimesofisrael , kulingana na mtandao wa kuhakiki picha (tineye) picha hizo hazijawahi kuchapishwa na tovuti yeyote duniani (hakiki pia kupitia Google image)

Pili , habari inayodaiwa kuchapishwa pamoja na picha hiyo sio kweli katika habari hiyo hakuna matumizi ya picha hiyo angalia hapa https://www.timesofisrael.com/israels-diplomatic-thrust-into-africa-spearheaded-by-military-

Picha ya uongo iliyotumwa na ndugu Fadhili katika mtandao wa Facebook
FB_IMG_17031220034183655.jpg


training/

Katika uhakiki wangu habari hiyo iliandikwa katika tovuti ya thetimesofisrael mwaka 2019 angalia picha Hapa chini

Screenshot_2023-12-21-04-20-21-57.jpg

Screenshot_2023-12-21-04-21-26-05.jpg


Mwisho nawaonya watu Hawa na kundi Lao kubadilika na kupenda kujifunza ili kuacha kupotosha umma
 
Nimeshangaaa kuona baadhi ya watu wanashea habari na picha za uongo kuwa kijana molel alijiunga na jeshi la isael, watu Hawa wasio na akili wamekuwa wakituma picha zilizoeditiwa kiasi Cha Mimi kuzifanyia uchunguzi nikabaini Ni upotoshaji, lakini nikajiuliza wanapata faida gani kufanya hivyo? Au ndio athari zenyewe

Kwa utafiti wa haraka haraka picha wanazotuma na kudai zimechapishwa katika tovuti ya thetimesofisrael , kulingana na mtandao wa kuhakiki picha (tineye) picha hizo hazijawahi kuchapishwa na tovuti yeyote duniani (hakiki pia kupitia Google image)

Pili , habari inayodaiwa kuchapishwa pamoja na picha hiyo sio kweli katika habari hiyo hakuna matumizi ya picha hiyo angalia hapa https://www.timesofisrael.com/israels-diplomatic-thrust-into-africa-spearheaded-by-military-

Picha ya uongo iliyotumwa na ndugu Fadhili katika mtandao wa Facebook View attachment 2848654

training/

Katika uhakiki wangu habari hiyo iliandikwa katika tovuti ya thetimesofisrael mwaka 2019 angalia picha Hapa chini

View attachment 2848655
View attachment 2848656

Mwisho nawaonya watu Hawa na kundi Lao kubadilika na kupenda kujifunza ili kuacha kupotosha umma
Kwa utafiti wa haraka haraka picha wanazotuma na kudai zimechapishwa katika tovuti ya thetimesofisrael , kulingana na mtandao wa kuhakiki picha (tineye) picha hizo hazijawahi kuchapishwa na tovuti yeyote duniani (hakiki pia kupitia Google image)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanafiki hao wanaokandamiza haki za wengine leo, kesho utawaona wanajidai kupigania haki zao wanazonyimwa na CCM, vipofu wasiojiona wanavyofanana tabia na hao CCM, hawajui wote wana tabia ya kukandamiza haki za wengine kwa maslahi yao binafsi, yawe ya kiitikadi au kiimani, wajinga.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Nimeshangaaa kuona baadhi ya watu wanashea habari na picha za uongo kuwa kijana molel alijiunga na jeshi la isael, watu Hawa wasio na akili wamekuwa wakituma picha zilizoeditiwa kiasi Cha Mimi kuzifanyia uchunguzi nikabaini Ni upotoshaji, lakini nikajiuliza wanapata faida gani kufanya hivyo? Au ndio athari zenyewe

Kwa utafiti wa haraka haraka picha wanazotuma na kudai zimechapishwa katika tovuti ya thetimesofisrael , kulingana na mtandao wa kuhakiki picha (tineye) picha hizo hazijawahi kuchapishwa na tovuti yeyote duniani (hakiki pia kupitia Google image)

Pili , habari inayodaiwa kuchapishwa pamoja na picha hiyo sio kweli katika habari hiyo hakuna matumizi ya picha hiyo angalia hapa https://www.timesofisrael.com/israels-diplomatic-thrust-into-africa-spearheaded-by-military-

Picha ya uongo iliyotumwa na ndugu Fadhili katika mtandao wa Facebook View attachment 2848654

training/

Katika uhakiki wangu habari hiyo iliandikwa katika tovuti ya thetimesofisrael mwaka 2019 angalia picha Hapa chini

View attachment 2848655
View attachment 2848656

Mwisho nawaonya watu Hawa na kundi Lao kubadilika na kupenda kujifunza ili kuacha kupotosha umma
Aione Ritz FaizaFoxy na always
 
Nimeshangaaa kuona baadhi ya watu wanashea habari na picha za uongo kuwa kijana molel alijiunga na jeshi la isael, watu Hawa wasio na akili wamekuwa wakituma picha zilizoeditiwa kiasi Cha Mimi kuzifanyia uchunguzi nikabaini Ni upotoshaji, lakini nikajiuliza wanapata faida gani kufanya hivyo? Au ndio athari zenyewe

Kwa utafiti wa haraka haraka picha wanazotuma na kudai zimechapishwa katika tovuti ya thetimesofisrael , kulingana na mtandao wa kuhakiki picha (tineye) picha hizo hazijawahi kuchapishwa na tovuti yeyote duniani (hakiki pia kupitia Google image)

Pili , habari inayodaiwa kuchapishwa pamoja na picha hiyo sio kweli katika habari hiyo hakuna matumizi ya picha hiyo angalia hapa https://www.timesofisrael.com/israels-diplomatic-thrust-into-africa-spearheaded-by-military-

Picha ya uongo iliyotumwa na ndugu Fadhili katika mtandao wa Facebook View attachment 2848654

training/

Katika uhakiki wangu habari hiyo iliandikwa katika tovuti ya thetimesofisrael mwaka 2019 angalia picha Hapa chini

View attachment 2848655
View attachment 2848656

Mwisho nawaonya watu Hawa na kundi Lao kubadilika na kupenda kujifunza ili kuacha kupotosha umma
Tuwapuuze tu Wajinga
 
Nimeshangaaa kuona baadhi ya watu wanashea habari na picha za uongo kuwa kijana molel alijiunga na jeshi la isael, watu Hawa wasio na akili wamekuwa wakituma picha zilizoeditiwa kiasi Cha Mimi kuzifanyia uchunguzi nikabaini Ni upotoshaji, lakini nikajiuliza wanapata faida gani kufanya hivyo? Au ndio athari zenyewe

Kwa utafiti wa haraka haraka picha wanazotuma na kudai zimechapishwa katika tovuti ya thetimesofisrael , kulingana na mtandao wa kuhakiki picha (tineye) picha hizo hazijawahi kuchapishwa na tovuti yeyote duniani (hakiki pia kupitia Google image)

Pili , habari inayodaiwa kuchapishwa pamoja na picha hiyo sio kweli katika habari hiyo hakuna matumizi ya picha hiyo angalia hapa https://www.timesofisrael.com/israels-diplomatic-thrust-into-africa-spearheaded-by-military-

Picha ya uongo iliyotumwa na ndugu Fadhili katika mtandao wa Facebook View attachment 2848654

training/

Katika uhakiki wangu habari hiyo iliandikwa katika tovuti ya thetimesofisrael mwaka 2019 angalia picha Hapa chini

View attachment 2848655
View attachment 2848656

Mwisho nawaonya watu Hawa na kundi Lao kubadilika na kupenda kujifunza ili kuacha kupotosha umma
Wewe ndio unajua zaidi kuliko magazeti ya Isreal?
 
Ni waislamu wa hovyo tu kwakua waliofanya hicho kitendo cha kinyama ni muislamu mwenzao na aliyetendewa ni mkristo basi wanaona sawa.

Hawa hawana tofauti yeyote na wale waliokua wanachoma makanisa.
 
Ni waislamu wa hovyo tu kwakua waliofanya hicho kitendo cha kinyama ni muislamu mwenzao na aliyetendewa ni mkristo basi wanaona sawa.

Hawa hawana tofauti yeyote na wale waliokua wanachoma makanisa.
Tzs watu wameuliwa ukasherekea. Mnafiki sana wewe
 
Sikuzidi wewe mpumbavu uliyejaa mavi kichwani kushangilia mauaji ya mkristo kisa aliyeua ni muislamu.
Tz wameuliwa wengi wewe ukashangiria. Mnafiki mkubwa wewe. Toka hapo. Hata wewe ukienda kusaidia Isreal kijeshi unategemea nini?
 
Kimbembe wanachokumbana nacho mazayuni huko si cha kaaida:

 
UNAJUA TATIZO LA WAISLAMU NI UNAFIKI......
UNAEEKA PICHA ZA KUEDITI UNADHAN HATUONI??????
UNATUFANGANYA KUHUSU GAZA UNADHANI HATUONI....
UZURI TIME WILL TELL..
Wao wangetumia akili. Kukosea kupo. Muungwana akivuliwa nguo anachutama. Hii wanachofanya ndio wanaharibu na kujichoresha. Nachowakubali wakristo wao wasingepindisha wange admit makosa. Kwa waislamu wao always wana play victim.
Too much of anything is harmful. Kila kitu kiwe na balance. Mahaba bila akili ni sawa udereva bila akili.
 
Back
Top Bottom