Jamaa hana kazi! Wakati watu wanahangaika kutafuta suluhu ya umeme yeye wala hana lolote analojua! Adrenalin level yake ni zero na huyo ndiye kamanda wetu katika vita!!
Kwa hiyo yeye nikama anatukomoa au?....ndio tuone watafanya nini sasa?acha kejeli
umeme mitambo ya Dowana na IPTL ipo sema nyie mnaojiita wapiganaji hamtaki iwashwe.
hebu mpumzishe rais wetu sie
acha kejeli
umeme mitambo ya Dowana na IPTL ipo sema nyie mnaojiita wapiganaji hamtaki iwashwe.
hebu mpumzishe rais wetu sie
at this stage i careless kuhusu hizo deal zao...sie tunataka umeme ama sivyo ei ya simenti itatuua
Kitendo hiki kinaweza kufanywa tu na mtu anayejali,hebu tazama wale watu wa serikali nyuma yake.Inaonyesha ni mtu wa watu anayejali watu.
Nani kakwambia rais ni baba wa watoto wote Tanzania..babake anatakiwa amlishe mwanaye finito!,mentality za kutegemea viongozi itaisha lini? do your homework kha!Mnafki tuu kama kweli anaupendo na watoto bas angempa msingi bora wa elimu, chakula na malazi,, hiyo yote hapo anatafuta kampeni tu ya mwakani, kwani akimfunga kamba za viatu ndo mtoto atashiba??? hebu tuamke jamani mbona ni jambo dogo tuu??? tumuulize tu huyo dogo kapata mlo gani kwa siku ndo tuweze kumsifia kama kweli ni baba anaejali watoto!!!
Mnafki tuu kama kweli anaupendo na watoto bas angempa msingi bora wa elimu, chakula na malazi,, hiyo yote hapo anatafuta kampeni tu ya mwakani, kwani akimfunga kamba za viatu ndo mtoto atashiba??? hebu tuamke jamani mbona ni jambo dogo tuu??? tumuulize tu huyo dogo kapata mlo gani kwa siku ndo tuweze kumsifia kama kweli ni baba anaejali watoto!!!
Nani kakwambia rais ni baba wa watoto wote Tanzania..babake anatakiwa amlishe mwanaye finito!,mentality za kutegemea viongozi itaisha lini? do your homework kha!