Hauijui KATIBA yetu. Nadhani JK kuna kitu alijifunza kwa kuzifunga zile kamba za viatu vya yule mtoto. Kwamba hatuna kiwanda cha viatu Nchi hii kama ilivyokuwa BORA SHOES enzi za Mwalimu.waziri mkuu yupo na ndo mtendaji wa serikali. kama hatimizi majukumu yake nafikiri tusimtwishe mzigo rais