Nitajie majina yao wote na kuwaonyesha huyu ni fulani na huyu ni fulani tuone km kweli unachosema ni ukweliWote apo wamewai kuwa Maraisi wa Jamhuri ya Kenya
Ukikaa na wakubwa utakula vikubwa hio ndio funzo la hio pichaMimi kupitia hiyo picha sijajifunza chochote
Jomo Kenyata uyo mzee Alieketi na dogo apo ni Uhuru Kenyata alafu uyo aliyeinama n Moi kibaki then uyo amesimama wima ni Daniel torotich Arap MoiNitajie majina yao wote na kuwaonyesha huyu ni fulani na huyu ni fulani tuone km kweli unachosema ni ukweli
Hivi ni Moi Kibaki au Mwai Kibaki? Alafu wote umepatiaJomo Kenyata uyo mzee Alieketi na dogo apo ni Uhuru Kenyata alafu uyo aliyeinama n Moi kibaki then uyo amesimama wima ni Daniel torotich Arap Moi
Mwai ndo correctHivi ni Moi Kibaki au Mwai Kibaki? Alafu wote umepatia
What a lovely day.