Mwanajeshi wa Tanzania ana manyama uzembe.Wanajeshi wa nchi mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja.
UMEGUNDUA NINI KWENYE HII PICHA?
View attachment 2872131
Tanzania tunaakisi siagi na mofa bila chenga.Wanajeshi wa nchi mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja.
UMEGUNDUA NINI KWENYE HII PICHA?
View attachment 2872131
Aje afanye usafi wiki ijayo sio?mwanajeshi wa Tz hayuko serious na kazi yake, arudishe hizo jezi
Du wa Tanzania inaonyesha ni jinsi gani anavyokwapua pororo