JS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 2,064
- 499
moyo wa kijasiri haunabudi kupongezwa kaka! Kumbeka bado tupo kwenze majonzi ya MC lakini
Nahama thread kwa sababu yako wewe
hahahhhaaa! ikiwa ni supu ya paya atajuaje kama alikuwa mbuzi wake sasa/!!!!
Afu na wewe! Kwani mwanasheria wewe? Hahaha!
Nna hasira na wewe ndio maana! Ilikuwaje sasa ukamkataza asije kukesha na mimi msibani kule Marangu? Miwivu tu imekujaa wewe, huna lolote!Ni kawaida kushangaa, akikua ataacha, ana bahati huna mdomo kama wa yule wa mlimani city! hahahahah
JS unamgwaya Iribini......we can team up and put him in his place!!! usihame mreembo shemeji yangu ndivyo alivyo but he is very sweet and loving!!! stay, sawa cutie????
Nahama thread kwa sababu yako wewe
JS unamgwaya Iribini......we can team up and put him in his place!!! usihame mreembo shemeji yangu ndivyo alivyo but he is very sweet and loving!!! stay, sawa cutie????
Currently Active Users Viewing This Thread: 45 (2 wapwazzz, 11 members, 22 guests and 33 legends) George_Porjie, carmel, FirstLady1, Fugwe, gkundi, JS, kibanzi, KwayuG, Matarese, MduduWashawasha, Tshala
Sawa BHT adhawaizi nilikuwa niko mlangoni naondoka kama si wewe nisingerudi jamvini.
Shauri yenu, Geoff hayuko mbali. Tutadumisha MILA na nyie! Jaribuni muone!
sio lakini najua basics hata nilikamatwa na police najua haki yangu hahaaaaaa lol!!!
ila hapo juu we muongo sana...."doctrine of recent pocession" kwenye supu??? kama ni ya mbwa je???
Wapendwa,
Nipo kwenye serious mahusiano na kwa mapenzi ya Mungu tunaweza kufunga ndoa.
1. Tatizo nina wivu kupita maelezo
2. niliumia kupitiliza nikaacha kuitumia ile siti, kuanzia siku ile nikawa nakaa siti ya nyuma kama balozi! Baada ya muda akabadili gari -thanx God sasa nakalia siti yangu!
3. Nyumba anayoishi nimebadili karibu kila kitu kwani nahisi vina uhusiano na mpenzi wake aliyepita na vinaweza kumkumbusha waliyokuwa wakifanya - siwezi kuvumilia,
4. nimembadili hata yeye - mavazi, perfume, sehemu za kutembelea nk nk yote hii ni kuhakikisha mimi ndio natawala
5. Akisafiri tunakesha kwa PC na simu (HAFANYI TENA KAZI)
6. msg zikiingia kwenye simu yake mapigo ya moyo yanabadilika...asiponiambia nani ametuma na kuniruhusu kusoma naweza kukosa usingizi siku kadhaa! (JAMAA UHURU WAKE NDIO HIVYO TENA)
**Nina wasiwasi atachoka, kuna wakati naona namnyima uhuru
kwa lazima au hiyari???
Kwa kawaida tuna-prefer diplomasia. Ikishindikana tuta-apply za ki- George Bush!
Thubutuu! Ntakufuata hukohuko utakakokimbilia mpaka kieleweke!
utanipata sasa au ndo na wewe utakuwa na wivu kama wa Anina ujue ninakokimbilia????
Hiyo bold Machale yananicheza
Hiyo blue Geoff atajibu. Si unajua projekti itafanyikia Iringa? Kule wow! wow! wow! ndo msosi wa heshima!