Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Ebu we fikiria tu.
--mtu amelala zake hawazi kuhusu kupumua
--hawazi kuhusu kula
--hawazi kuhusu pesa, kujenga wala familia
--hawazi kuhusu nguo wala hana movement ya aina yeyote,
Yeye muda wote yuko zake ametulia tuli, amejilalia anaota zake ndoto isiyoisha utamu.
Na fikiria kuhusu sisi tulio hai
-- kwanza kabisa tunawaza kuhusu kupumua, moshi kidogo tu au hali ya hewa ikibadilika kidogo kikohozi kama chote mixer kuumwa kifua,
--kila siku tunawaza kuhusu kula, tunawaza wapi pa kupata pesa,
--tunawaza kujenga, kutunza familia na Nk.
-- bado tunawaza pa kupatia papuchi/dushe na vitu kibao
-- ata ule muda ukisema sasa upumzike mawazo kibao lazima yakutembelee au ndoto za ajabu ajabu, mara uwaze madeni au uote unakimbizwa na majini yaaani hakuna muda wa kupumzika kabisa,
-- bado kuna malazi ambayo yakikupata unateseka siyo tu kidogo ni kuteseka aswaa,
--Aya ukipata kidogo kitu, majirani nao wakununie,marafiki wakuseme kwamba unajidai, ndugu nao lawama yaani ili mradi tu tafrani.
Kuna muda natamani ata kufa kwa sababu nina wivu naona kama waliokufa wanafaidi,
Na kuna muda naona kama waliokufa kuna jambo wanatuficha sio kwamba wamelala hawataki kuamka ila nahisi kuna Raha na starehe ya ajabu wanayoipata huko ndio maana hawataki tena kurudi kuteseka na Hizi tabu za duniani.
Cc Zero IQ
--mtu amelala zake hawazi kuhusu kupumua
--hawazi kuhusu kula
--hawazi kuhusu pesa, kujenga wala familia
--hawazi kuhusu nguo wala hana movement ya aina yeyote,
Yeye muda wote yuko zake ametulia tuli, amejilalia anaota zake ndoto isiyoisha utamu.
Na fikiria kuhusu sisi tulio hai
-- kwanza kabisa tunawaza kuhusu kupumua, moshi kidogo tu au hali ya hewa ikibadilika kidogo kikohozi kama chote mixer kuumwa kifua,
--kila siku tunawaza kuhusu kula, tunawaza wapi pa kupata pesa,
--tunawaza kujenga, kutunza familia na Nk.
-- bado tunawaza pa kupatia papuchi/dushe na vitu kibao
-- ata ule muda ukisema sasa upumzike mawazo kibao lazima yakutembelee au ndoto za ajabu ajabu, mara uwaze madeni au uote unakimbizwa na majini yaaani hakuna muda wa kupumzika kabisa,
-- bado kuna malazi ambayo yakikupata unateseka siyo tu kidogo ni kuteseka aswaa,
--Aya ukipata kidogo kitu, majirani nao wakununie,marafiki wakuseme kwamba unajidai, ndugu nao lawama yaani ili mradi tu tafrani.
Kuna muda natamani ata kufa kwa sababu nina wivu naona kama waliokufa wanafaidi,
Na kuna muda naona kama waliokufa kuna jambo wanatuficha sio kwamba wamelala hawataki kuamka ila nahisi kuna Raha na starehe ya ajabu wanayoipata huko ndio maana hawataki tena kurudi kuteseka na Hizi tabu za duniani.
Cc Zero IQ