Hahaha! Ishia hapo hapo! Si wanasemaga wachaga hawajui malavidavi. Sasa tunayaonyesha theoretically!
kwa niaba ya fidel=NI KULA MAINI!kujiexpress ndo nini?Fidel
bado msamiati.kwa niaba ya fidel=NI KULA MAINI!
kula maini=KULA NDOGObado msamiati.
Hii misemo bwana,yaani unaniacha kwenye mataa ya ubungokula maini=KULA NDOGO
kweli bwana kijana sijui alifunga kwa maombi kwanza ndo akatoa maamuzihongera sana mwaya, huu ndo uamuzi mkubwa uliowahi kufanya into ur life. kiukweli hakuna faida yoyote than side effects