Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Hahahaha duh mtume nastaafu alafu ile ishu ya ZERO PUB sijaonja
Nakumbuka uliipendea TiGo yake. Sasa itakuwaje wakati mkulu ndio umemwaga manyanga kwenye fani?
Hahahaha duh mtume nastaafu alafu ile ishu ya ZERO PUB sijaonja
swadakta homeboi!.....ameniacha njia panda hata ivyo.mimi tigo ndo inazunfuka kwenye damu sasa,YEYE ANAACHA!
Dah home boy tumekutafuta sana get tugedha hujapatikana hii ishu ipo jamaa anaanza 2010
inaweza kuwa danganya toto?!!!!!....ili mashoriiz wakitongozwa waingie kingi mpela-mpela
hahahaaaaa, nilimgongea senks, lakini nilipofika hapa imebidi ni-remove!!!.
Dah mpwa kila nikikumbuka ule mgongo roho inaniuma sana unajua hata mvuta sigara iwa anaacha taratibu au pole pole.
Msindima, Vera City na wote mliomgongea senksi mpwa wangu. I believe you can see the bolded sentence! Hahaha! Jasiri haachi nini sijui?....[/QUOTE]
ASILI! LOH!
Msindima, Vera City na wote mliomgongea senksi mpwa wangu. I believe you can see the bolded sentence! Hahaha! Jasiri haachi nini sijui?....[/QUOTE]
ASILI! LOH!
Msiwe na wasiwasi jamani,Bwana anajibu maombi.Lakini naona kamati ya watumishi(Xpin,Nguli na Geoff) ikae kupanga maombi zaidi ili asirudi kwenye asili.Na muda si mrefu Fidel80 atatangaza kusomea uchungaji na kuoa yule binti Mlokole.
biblia inasema ole wa mfira..ji na mfirw..ji
Hujawahi onja tamu ya asali ya nyuki wadogo wewe!
Bwashee!!! hata wewe!!! kule kwenu Mangulwa wanajua hilo?
hahaha! Ishia hapo hapo! Si wanasemaga wachaga hawajui malavidavi. Sasa tunayaonyesha theoretically!
no comment!!!!!!!
Unaharibu sasa na wewe hivi kati ya ulivyo taja hapo kuku utamweka kundi lipi?