GIPAMA
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 1,103
- 541
Haa, kumbe wewe! wewe huna lolote, huna msimamo na hujui lolote, maana uliwahi kuuhakikishia umma kuwa ajira za walimu zngetoka February 25 mwaka huu. lakn hakuna lolote. Tulia kijana, unaposema kitu uwe na kumbukumbu, mwingne ataaminika lakini wewe hamna!tetesi; ajira zenu mwezi 8 katikati.