Mathayo Christopher
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 410
- 283
- Thread starter
- #381
Wewe unaokomenti kwa kejeli hujui maumivu tunayoyapitia
una GPA ya ngapi. kama huna GPA ya kuanzia 3.8 au wastani wa B utasubiri sanaNimekuwa kufarijiwa kwa muda mrefu kuwa nivumilie ajira za walimu zitatoka mapema. Ila sasa mpaka nimekata tamaa maana wanasiasa ni kawaida yao maneno mengi mwaka unaisha tunaingia mwaka mwingine mambo hayaelewiki.
Mtaani kunachosha yaani daah hata sijui
Kumbeeee lakini ajira sio lazima serikalini, jaribu kupitisha bahasha kwenye NGOs na sekta binafsi.Hapa nakusudia nikawe machinga tu Dar maana mimi ni GEOGRAPHY AND HISTORY teacher .nimehemwa tu na GPA yangu hii huku HESLB wananidai milioni 12 ambayo hata sijui nitaipata lini Najuta kumpigia kampeni magufuli SITOJIHUSISHA NA SIASA TENA unaemwamini anatusaliti
poleHapa nakusudia nikawe machinga tu Dar maana mimi ni GEOGRAPHY AND HISTORY teacher .nimehemwa tu na GPA yangu hii huku HESLB wananidai milioni 12 ambayo hata sijui nitaipata lini Najuta kumpigia kampeni magufuli SITOJIHUSISHA NA SIASA TENA unaemwamini anatusaliti