smileagain
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 585
- 627
Uhaba wa walimu hautaisha Tanzania hii,hata wakitoa ajira haitazidi 40% kwa watakaoreport kwenye vituo vya kazi,watu wengi waneajiriwa private schools na kwenye taasis binafsi na hivi MNA mpango wa kuwatupa pembezoni mwa nchi kwenye mazingira mabovu na mshahara mdogo sijui tu hii sekta ya elimu itaendelea lini...na hata wakaoenda watakuwa washasahau walichofundishwa.
ONYO: Serikali muache kulalamika kuhusu uhaba wa walimu maana ni unafki
ONYO: Serikali muache kulalamika kuhusu uhaba wa walimu maana ni unafki