Hekima za Mzee Mtei ni lulu, pengine Mzee Mtei asingeongea hivi endapo John Shibuda angetangaza nia ya kugombea uraisi kupitia Chadema, bila shaka kuna masuala ambayo Mzee Mtei anayajua na sisi hatuyajui ndio maana anarudia hii kauli yake kwa mara ya pili, wakati mwingine waandishi wawaulize hawa wazee sababu zinazowasukuma kubomoa kabati zao za ushauri na kuongea falsafa za maana kama hivi.
Tuangalie na upande wa pili wa shilingi...kwa nini kutangaza nia kwa Zitto kuchukuliwe kama njia ya kutaka 'kuisambaratisha' Chadema? Hivi kila kiongozi, mwanachama, shabiki/mpenzi wa Chadema angeichukulia kama kauli ya kawaida labda kumpongeza Zitto kwa kutangaza nia then tukasahau tukisubiri wakati muafaka mchakato utakapoanza..kungekuwa na malumbano yanayotishia 'kusambaratisha' Chadema?
Tatizo tunampa Zitto uzito mkubwa (overrate) hasiostahili...zikipigwa kura za maoni nani awe candidate wa uRais Chadema Zitto hatatokea kama favourite...hizi kura zinazoendelea hapa JF kati ya Dr Slaa na Zitto zinaonyesha jinsi Dr alivyomuacha kwa mbali. Kwa nini wanaChadema tuchachawe na kudhani Zitto anatishia kusambaratika kwa Chadema?
Hapo kwenye wekundu:
Kwani wanaotangaza kwamba watagombea urais kupitia CDM (Kama Zitto) wamesema kwamba watajiteua? Namsikia kila siku Zitto akisema "...kama nitapata ridhaa ya chama changu...." Hii inadhihirisha kwamba atatafuta ridhaa ya chama chake (CDM).
right message from an old man on the right time for the right things.
It iz an objective truth from an outstanding figure who sees beyond limit and horizon where others fail!!!!
Kama kweli alilolisema Mzee mtei lina heri basi wamuunge mkono ZITTO apeperushe bendera ya CDM mwaka 2015 kwa vile tayari yeye ameonesha nia, na kama ni unafiki wa kutaka kumpalilia njia mkwe wake hakika patachimbika.
Tuangalie na upande wa pili wa shilingi...kwa nini kutangaza nia kwa Zitto kuchukuliwe kama njia ya kutaka 'kuisambaratisha' Chadema? Hivi kila kiongozi, mwanachama, shabiki/mpenzi wa Chadema angeichukulia kama kauli ya kawaida labda kumpongeza Zitto kwa kutangaza nia then tukasahau tukisubiri wakati muafaka mchakato utakapoanza..kungekuwa na malumbano yanayotishia 'kusambaratisha' Chadema?
Tatizo tunampa Zitto uzito mkubwa (overrate) hasiostahili...zikipigwa kura za maoni nani awe candidate wa uRais Chadema Zitto hatatokea kama favourite...hizi kura zinazoendelea hapa JF kati ya Dr Slaa na Zitto zinaonyesha jinsi Dr alivyomuacha kwa mbali. Kwa nini wanaChadema tuchachawe na kudhani Zitto anatishia kusambaratika kwa Chadema?
Mzee Mtei hana lolote hakuna kinachomsukuma kufanya hivyo icpokuwa udini 2 aliokuwa nao ww hukumbuki alichokisema kuhusu 2me ya ukusanyaji wa maoni ya katiba eti waislamu ni wengi ktk 2me ukilinganisha na wakristo. Sasa povu linamtoka kisa 2 Zitto(muislam) kutangaza nia ya kugombea urais. Think great guys acheni upuuzi.
Zitto anawafanya wenye chama wasipate usingi.kila chama kinapofika chini ndio malengo ya hawa wakanda yanavyoyayuka bila kujua wenyewe,watajiunga wengi na hawatakubali kupelekwapelekwa.zitto kuwa makini hawa wamesoma na wanapesa lkn wachache.
Hizi ndiyo busara za waasisi....
Zitto anawafanya wenye chama wasipate usingi.kila chama kinapofika chini ndio malengo ya hawa wakanda yanavyoyayuka bila kujua wenyewe,watajiunga wengi na hawatakubali kupelekwapelekwa.zitto kuwa makini hawa wamesoma na wanapesa lkn wachache.