Kama nimemuelewa Rais, Nyerere aliuzingatia ushauri wa Mzee Mtei na jukumu la Utekelezaji akampa Mzee Mwinyi 1985!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,000
142,027
Ikumbukwe kuwa Mzee Edwin Mtei muasisi wa CHADEMA ndiye aliyemshauri Mwalimu Nyerere akubaliane na Sera za IMF na WB kwa sababu hapakuwa na namna nyingine.

Mbele ya camera Nyerere alikataa na Mzee Mtei akatangaza kujiuzulu, lakini kwa Maelezo ya jana ya Mh. Rais Dr. Samia kwamba Mwalimu Nyerere aling'atuka ili kuruhusu Mageuzi ya Kiuchumi na kisiasa nashawishika kuamini ule Ushauri wa Mzee Mtei ulifanyiwa kazi.

Labda ndio sababu baadae Nyerere alisema vyama vya Upinzani vitakufa vyote Lakini Chadema itadumu. 😄😄🔥

Nawatakia Dominica Njema
 
Ikumbukwe kuwa mzee Edwin Mtei muasisi wa Chadema ndiye aliyemshauri Mwalimu Nyerere akubaliane na Sera za IMF na WB kwa sababu hapakuwa na namna nyingine

Mbele ya Camera Nyerere alikataa na mzee Mtei akatangaza kujiuzulu

Lakini kwa Maelezo ya jana ya mh Rais Dr Samia kwamba Mwalimu Nyerere aling'atuka ili kuruhusu Mageuzi ya Kiuchumi na kisiasa nashawishika kuamini ule Ushauri wa Mzee Mtei ulifanyiwa kazi

Labda ndio sababu baadae Nyerere alisema vyama vya Upinzani vitakufa vyote Lakini Chadema itadumu 😄😄🔥

Nawatakia Dominica Njema
Mkuu sikupongezi ila nakwambia Leo tu Mungu akupe baraka nyingi umejua kujirekebisha na kuwa Muungwana sana ,hukua hivi kabla , wenda Mungu yupo na mipango na wewe
 
Ikumbukwe kuwa mzee Edwin Mtei muasisi wa Chadema ndiye aliyemshauri Mwalimu Nyerere akubaliane na Sera za IMF na WB kwa sababu hapakuwa na namna nyingine

Mbele ya Camera Nyerere alikataa na mzee Mtei akatangaza kujiuzulu

Lakini kwa Maelezo ya jana ya mh Rais Dr Samia kwamba Mwalimu Nyerere aling'atuka ili kuruhusu Mageuzi ya Kiuchumi na kisiasa nashawishika kuamini ule Ushauri wa Mzee Mtei ulifanyiwa kazi

Labda ndio sababu baadae Nyerere alisema vyama vya Upinzani vitakufa vyote Lakini Chadema itadumu 😄😄🔥

Nawatakia Dominica Njema
Haya CHADEM msibani ...ikitafuta chochote kitu....
 
Back
Top Bottom