- Thread starter
- #41
Hapa mtasababisha hata sisi tusio washabiki tuanze kuogopa siasa ya Tanzania. Katika hali ya kawaida Zitto amechemka kutangaza nia mapema tena wakati M4C yao ikiwa hot yeye kaja na ajenda ya Urais kupunguza makali ya M4C. For real kumwunga mkono huyu jamaa ni kudhoofisha upinzani.
Sasa utabiri wa Wasira utatimia hata kabla ya 2014 kama CDM hawatakuwa makini and its so bad to see this.
Mkuu nikuhakikishie ondoa hofu.Mbinu ya Wassira haitafanikiwa.Na ndiyo maana waasisi wa chama wameingia ulingoni kuhakikisha hakuna ujinga wa kuvuruga chama.