johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,028
Na baada ya mwalimu Nyerere kuukataa Ushauri wa Mzee Edwin Mtei ndio tukaingia kwenye dimbwi la Umaskini
Afadhali sasa CCM ndio imeuchukua Ushauri ule wa mzee Mtei wa miaka 40 iliyopita na Nchi inafunguka Kiuchumi
Mungu wa Mbinguni Ibariki Chadema
Nawatakia Sabato Njema 😄
Afadhali sasa CCM ndio imeuchukua Ushauri ule wa mzee Mtei wa miaka 40 iliyopita na Nchi inafunguka Kiuchumi
Mungu wa Mbinguni Ibariki Chadema
Nawatakia Sabato Njema 😄