Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
- Thread starter
- #121
haya ndio matatizo ya kuanza mambo ya mahusiano ukiwa tayari akili imekomaa. 1st love mara nyingi inapagawisha. kucharuka mapema kuna faida zake, hakuna kupagawishana, mtu akikuzingua, tosa kule songa mbele, hakuna kuwaza wala nini, kwani huyo leah ndio kabeba maisha yako? mwanake umekutana nae na meno ya 32 mdomoni leo anakufanya utake kufukuzwa kazi. hebu songa mbele. hata kama ameanza kukupigia, achana nae..!! hakukufikiria wakati wewe unamuhitaji, sasa leo wa nini. huyo hata ukimuoa atakuchezea akili, amka kijana.
SAL,
Asante kwa ushauri wako.Amenisababishia hasara nyingi sana za kihali na kimali lakini nashangaa bado ati nampenda.Basi inabidi nichukulie kama nimefiwa na mtu muhimu kwangu afu niachane nae.