Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
- Thread starter
- #101
Huo ni utegemezi wa kihisia mkuu, ni ugonjwa mbaya hakuna hapa duniani na kama ukilazimisha kumuoa huyo Leah atakuendesha kweli kweli kwa sababu anajua wewe ni dhaifu kwake yaani umemfia na hapo ndipo watu husema umelishwa LIMBWATA.Unahitaji kupata ushauri kutoka kwa mtaalamu wa mambo ya mahusiano, nadhani siku hizi vipo vituo vya kutoa huduma hizo.............sina uhakika vipo wapi lakini kama kuna mtu humu anafahamu anaweza kukusaidia...............
Hata haya niliyoyapata kwenye hii thread yanasaidia sana,ingawa nikijua hizo centre itakuwa vizuri zaidi.Mtambuzi,hayo unayoyasema hata mimi hua nawashauri watu wengine.Tatizo moyo