Quinty
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 462
- 74
Tunawakati mgumu sana kuona hata chombo kinachotunga sheria kinapindisha sheria kwa maslahi ya wachache...hii ni hatari sana. Pia ni ukweli usiopingika kwamba huyu spika yupo kwa maslahi ya chama chake. Sidhani hata kama anakumbuka kiapo chake cha kuongoza bunge.