Hivi Mama Spika anapomuomba waziri ajibu kwa kifupi sana huwa anamaanisha nini?
Binafsi naona maana yake ni kuwa ama waziri ajibu haraka kwa sababu muda ni kidogo, au waziri ajibu kwa kufunika hata asipoeleweka au swali lililoulizwa ni la kipuuzi hivyo waziri aburuze tu na atalindwa.
Naomba mchango wenu tafadhali.
Kuwa na mama kama yule dah nia aibu maana hana busara hata kidogo, yule ni Anne Makinda... sio Mama
Na mungu naye Ana akili ndo maana hajampa watoto
Inaamana hata CCM kama hawako kwenye 18 za EL na RA inakula kwao au? Tusubiri siku RA au EL wakiwa wanachangia, ili tuone her response and attitude...................
Na mungu naye Ana akili ndo maana hajampa watoto
Kama itatokea RA akatoa mchango bungeni basi pengine huo utakuwa ni mchango wake wa kwanza. Hata bwana mamvi toka alipotemeshwa unene sijawahi kumsikia akichangia pia.
Na mungu naye Ana akili ndo maana hajampa watoto