Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
hana huo ubavu.
anaiga tu
anaiga tu
Nakubaliana na Ndahani. Huyu mama kapachikwa pale na mafisadi ili wadhibiti uendeshaji wa bunge. Hajui kanuni za bunge na not too long in the near future atajiumbua mwenyewe.
Ndugu wana jamvi hivi kwa mtazamo wa undeshaji wa Bunge la sasa mbona naona kama Spika wetu huyu ana mfumo wa udictator??? Wenye information na utendaji wake wa huko nyuma atujuze.
Kipimo cha kumjua mtu mwenye jazba au ambaye hajaridhika na hali fulani ni kuangalia kauli na mwenendo wake baada ya tukio au matukio husika...kwa wanaofuatilia vikao vya Bunge lililoahirishwa Dodoma,it is evident kwamba Spika wetu wa sasa ana jazba!! Hii ni kutokana na kwamba mara kadhaa amekua akidai yeye hana tatizo na mtu wala kinyongo wala hakasiriki!!! Na haya huyasema bila kuulizwa na mtu wala nini?? Saikolojia ya kawaida kabisa inatosha kuonyesha kwamba kila anapoongea haya huwa yupo katika msongo!! tunaomba mlio karibu mumshauri,atapata matatizo ya kiafya, kama bado hana!!!
Mkuu unaelewa unachokiandika au ndo umeamua kuongeza idadi ya posts kwako?CHADEMA wachokozi sana!!!
Mkuu unaelewa unachokiandika au ndo umeamua kuongeza idadi ya posts kwako?
Mkuu unaelewa unachokiandika au ndo umeamua kuongeza idadi ya posts kwako?