a.k.a "ajuza"
Inaamana hata CCM kama hawako kwenye 18 za EL na RA inakula kwao au? Tusubiri siku RA au EL wakiwa wanachangia, ili tuone her response and attitude...................
Ndo anachomaanisha,yeye kwake mradi mtu kajibiwa,ubora au usahihi wa majibu yeye haumhusu,anachotaka ni mtu ajibu chochote,in short anakera na sioni busara yake kwenye hilo!
mama mama mamaaaaa, mama huyo, mama mamaa huyo mamaaaaa
Huenda hatajuta kama anayoyafanya hayaingiliani na malengo yake. Ni vizuri kutambua malengo yake wakati anagombea nafasi ile; je alitaka kuacha legacy ya namna gani? Kama aligombea kwa ajili ya mshiko basi huenda asijute kabisa, bali akazidi kufurahia kuwa mshiko wake unapanda chati kila anapoboronga kwenye upande wa legacy yake.Huyu mama atakujajuta kwa anayoyafanya
toka mwanzo ilijulikana huyu mama atakuwa kikwazo sana