Ni kitu gani...?!

so point hapa ni kwamba yafanyike mara moja moja ndio mtu anaweza kuvumilia? mnajua kila binadamu ana mapungufu yake? unajua kuna wakati binadamu alivyi ndivyo alivyo huwezi kumbadilisha? hayo yapo sana humu ndani tunachofanya ukiona yamekuzidi we jipangue tu but mcdhani ha2yapitii baadhi ya hayo kwa namna moja au nyingine..tunayapitia sana ishu ni kwamba ukiona yamezidi unajipangua tu.
<br />
<br />

Ndio maana nikasema inategemea mtu na mtu mae....wengine mara moja anasepa, wengine tango waingie yanayavumilia hayo.

Umegusia suala la tabia ya mtu....wengi huwa tunang'ang'ana kubadili tabia za wenzi wetu ziwe tupendavyo sisi (utadhani sisi ni malaika) lakini je hata kama mwenzio anafanya vitu vinakuumiza unyamaze tu kwa vile ni tabia yake? Uumie ndani kwa ndani mpaka muda wa kupangua ufike?
 
Hekima inapokosekana kwa wapendanao,huwa ndo mwanzo wa mavurugano na maachano,Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake na kuiboresha,bali mpumbavu ataibomoa kwa mikono yake.Mume mwenye busara humpenda mkewe naye humwona kama lulu,ambayo kimsingi hawezi mlinganisha na mwanamke yeyote sababu amewazidi!!!!!Mkiyashika hayo mtaishi kwa amani
 
uko sahihi lakini haya mambo yanazungumzika hakuna marefu yasiyo na ncha
Kila mtu anajua nini haswa kilichomvutia/mpendeza hata kutaka/kukubali kuo/kuolewa au hata kua na mpenzi aliye nae.Hata wale ambao hawana wapenzi wana idea ya nini kinachoweza kumvutia kwa mtarajiwa wake!

Swali: je ni kitu gani kinachoweza kukufanya uachane na mke/mme/mpenzi wako?!Ni kitu gani unafikiri akifanya au kikitokea kwenye mahusiano yenu baada ya muda hutoweza kuendelea kuvumilia?!

Binafsi vitu ambavyo vinaweza kuniondolea yale mapenzi nlokua nayo mwanzo ni ....
1. Kunipiga - mwanaume kuniinulia mkono mwanamke mzima ambae kama kuna tatizo angeweza kunijulisha kwa njia nyingine na likatatulika kwa kweli siwezi kuvumilia.Maana ukichekelea leo jiandae na kesho!!

2.Kutoka nje ya mahusiano. - sijui kama itatokea siku nikabadilisha mawazo kuhusu hili ...kwa sasa hivi naamini kama mtu ananipenda na kuniheshimu kweli hawezi kutoka nje ya mahusiano tuliyonayo.Kama kuna kinachokosekana aniambie nirekebishe.

3.Kunidharau/tukana mbele za watu - inaonyesha haniheshimu...na kama haniheshimu siwezi kuona tukiendelea hata kufika mbali zaidi ya kua wapenzi tu maana kuheshimiana ni muhimu.

4. Kuonyesha kutokujali hisia/mawazo yangu - mtu ambae anamwachia mwenzake kazi nzima ya kujenga mahusiano ni sawa na mzigo mzito ambao unabebeka ila baada ya muda unachosha.Kuna watu ambao wao hata kumjulia mwenzake hali hawezi...kusongesha mahusiano mbele hawezi..yani we unakua na kazi ya kumpeleka upande huu na ule bila kujua kama kweli ndo kilichopo moyoni mwake.Kama unamlazimisha vile au anafanya tu kukuridhisha uendelee kuwepo kwa muda ule ambao anaweza kutumia uwepo wako.Ubaya wa watu kama hawa ni kwamba hata siku akiamka akakwambia sikuwahi kukupenda huwezi kumbishia kwasababu hakuwahi kukwambia wala kuonyesha kwa matendo!!

5.Ubinafsi - mtu wa mimi..mimi ..mimi.Kila kitu ni vile anavyotaka yeye au hamna kitu.Wakati mahusiano yanatakiwa yawe makubaliano na michango ya pande zote mbili.

6.Ulalamikaji/kutokua na shukrani - hata ufanye zuri gani huwezi pata asante na mbaya zaidi utaambulia malalamiko.

7.Kutokujiamini kulikopitiliza - maana mara nyingi hii hua inazaa tuhuma.Anakua hana imani kwamba unampenda kweli au ukienda sokoni unaenda kununua nyanya tu na kurudi.Tuhuma zikizidi zinaua hisia zilizokuwepo.
N.k....

Wewe je....?!
 
<br />
<br />

Ndio maana nikasema inategemea mtu na mtu mae....wengine mara moja anasepa, wengine tango waingie yanayavumilia hayo.

Umegusia suala la tabia ya mtu....wengi huwa tunang'ang'ana kubadili tabia za wenzi wetu ziwe tupendavyo sisi (utadhani sisi ni malaika) lakini je hata kama mwenzio anafanya vitu vinakuumiza unyamaze tu kwa vile ni tabia yake? Uumie ndani kwa ndani mpaka muda wa kupangua ufike?

my dearest, unaweza kuongea na mtu mzima kuhusu tabia yake but acweze kubadilika mpaka atakapojickia kubadilika yeye mwenyewe, unafanya jitihada zote bila mafanikio, ikifikia hapo maamuzi ni yako sasa, uridhike na hiyo tabia aliyonayo muendelee na lyf au ujipangue, kuna tabia za nyingine ni ngumu sana kumbadilisha mtu, mfano mwanaume acyeridhika na mwanamke mmoja, huyu kila kukicha ana hawara mpya ipo kwenye damu ni kwamba akiona skirt imepita lazima ajue kilichopo ndani, sasa kumbadili mtu kama huyu ni ngumu sana sana hapo ndio pa kuamua kujipangua au laa, kuna nyingine unaweza mbadilisha, eg chapombe, huyu unaweza kwenda nae mdogo mdogo au ukatamani hapa apate kisukari ashauriwe na doc aache pombe, hapo kuna ka hauweni...lol.....ngumu kumeza but mcfikirie kwamba ni rahic kama mnavyofikiria,yaani Lizzy kanifanya nimuone kama ameumba wake so anam control anavyotaka yeye....haiwezekaniki....kama klorokwini alivyosema hivyo vijimambo hapo juu ndio mahusiano yenyewe sasa ucpokumbana na hili utakumbana na lile.
 
Usemayo hapo yote yanawezekana ikiwa haupo ktk mahusiano ila kama upo ndani yake hizo hapo sio sababu kabisa. lizz mapenz yasikie hivyohivyo nimabaya kupita maelezo m2 hukubalikuwa fukara kwajili ya mapenz. ivi nikipi chenye thaman kama uhai lkn m2 hufikia ha2a anajinyonga unafikiri ni mjingaeeeee ni mapenz yote hayo. Omba mungu usipate bahati ya kupenda.
 
so point hapa ni kwamba yafanyike mara moja moja ndio mtu anaweza kuvumilia? mnajua kila binadamu ana mapungufu yake? unajua kuna wakati binadamu alivyi ndivyo alivyo huwezi kumbadilisha? hayo yapo sana humu ndani tunachofanya ukiona yamekuzidi we jipangue tu but mcdhani ha2yapitii baadhi ya hayo kwa namna moja au nyingine..tunayapitia sana ishu ni kwamba ukiona yamezidi unajipangua tu.

Laazizi heri ya mwaka mpya! :) Hatujaonana tangu mwakajana! Tehetehetehe!
 
<br />
<br />

Ndio maana nikasema inategemea mtu na mtu mae....wengine mara moja anasepa, wengine tango waingie yanayavumilia hayo.

Umegusia suala la tabia ya mtu....wengi huwa tunang'ang'ana kubadili tabia za wenzi wetu ziwe tupendavyo sisi (utadhani sisi ni malaika) lakini je hata kama mwenzio anafanya vitu vinakuumiza unyamaze tu kwa vile ni tabia yake? Uumie ndani kwa ndani mpaka muda wa kupangua ufike?

Mdogo wangu B,

Haya mambo mara nyingi yanakuja kwa slow but killing or sedating doses...Unachukulia kuwa si mbaya sana na unapokuja kustuka inakuwa too late.

La muhimu ni kumwomba Mungu akupe nguvu ya ama kuyakabili au kufanya maamuzi magumu. Ila mengi sana yanatukuta kwenye hizi ndoa!
 
so point hapa ni kwamba yafanyike mara moja moja ndio mtu anaweza kuvumilia? mnajua kila binadamu ana mapungufu yake? unajua kuna wakati binadamu alivyi ndivyo alivyo huwezi kumbadilisha? hayo yapo sana humu ndani tunachofanya ukiona yamekuzidi we jipangue tu but mcdhani ha2yapitii baadhi ya hayo kwa namna moja au nyingine..tunayapitia sana ishu ni kwamba ukiona yamezidi unajipangua tu.
Nyamayao, we acha tu..... kila mtu na zigo lake, hayakwepeki hata, kuna sista angu alimwacha mumewe kwa ajili ya mineno , akaolewa na mpigaji sana, akamwacha sasa hivi yuko na mwanaume ni kiwembe hapo ndio katulia tuliiii haambiwi kitu, kila mtu na maisha yake
 
Nyamayao, we acha tu..... kila mtu na zigo lake, hayakwepeki hata, kuna sista angu alimwacha mumewe kwa ajili ya mineno , akaolewa na mpigaji sana, akamwacha sasa hivi yuko na mwanaume ni kiwembe hapo ndio katulia tuliiii haambiwi kitu, kila mtu na maisha yake

...na wengine wana sifa zote hizo tatu. Kwenye mambo haya hakuna kosa kubwa au dogo,...ni vile mwenyewe unajipimia 'kwa kidole' maji yana umoto kiasi gani kabla ya kutia mguu!
 
offu topik: Halaf Lizzy wenyewe ana gubu vile vile, samtaimu kama haujaquote post yake PM zako hajibu.
msg sent!

ok turudini kwenye mada
 
Nyamayao, we acha tu..... kila mtu na zigo lake, hayakwepeki hata, kuna sista angu alimwacha mumewe kwa ajili ya mineno , akaolewa na mpigaji sana, akamwacha sasa hivi yuko na mwanaume ni kiwembe hapo ndio katulia tuliiii haambiwi kitu, kila mtu na maisha yake

Kweli Gaga...hii dunia ni ina vichaa tena wabaya sana. Yaani kila mtu an vices zake. Laiti kama mtu angeweza kujioa mwenyewe ili aepuke kero!

Jambo la msingi ni kukubali kwamba kitendo cha kuwa na mtu mwingine hata kama mnapendana tayari kimeleta kiwingu...Wenye bahati ni wale ambao viwingu vyao si vizito saaaana!! Ila kuna wengine kwao kila siku ni mvua nzito nzito na radi za kutisha!
 
Laazizi heri ya mwaka mpya! :) Hatujaonana tangu mwakajana! Tehetehetehe!
na kwak

o pia Laaziz....nilijua umenimwaga/umeshanitenda jamani....c unaona mapenzi yenyewe ya cku hizi, hofu tele kwa moyo...hahahahaha
 
Nyamayao, we acha tu..... kila mtu na zigo lake, hayakwepeki hata, kuna sista angu alimwacha mumewe kwa ajili ya mineno , akaolewa na mpigaji sana, akamwacha sasa hivi yuko na mwanaume ni kiwembe hapo ndio katulia tuliiii haambiwi kitu, kila mtu na maisha yake

Gaga,

Hapo kwenye bluu: Hebu turudi shule kidogo enzi zile za maswali ya ''matipo choisi''. Katulia tuli kwa huyo mwanaume kiwembe kwa sababu mojawapo kati ya zifuatazo;
A. Kachoka kutanga tanga na kagundua kila mtu ana mapungufu yake, bora kutulia tu.
B. Wamezaa mtoto na kabla ya hapo pengine hakuwa naye.
C. Mwanaume huyo anamfikisha kileleni, na labda ndio maana ni kiwembe kwa kuwa ni fundi kwenye mchezo huo.
D. Yote hapo juu ni sawa.
E. None of the above is correct.

Chagua jibu sahihi.
 
Mdogo wangu B,

Haya mambo mara nyingi yanakuja kwa slow but killing or sedating doses...Unachukulia kuwa si mbaya sana na unapokuja kustuka inakuwa too late.

La muhimu ni kumwomba Mungu akupe nguvu ya ama kuyakabili au kufanya maamuzi magumu. Ila mengi sana yanatukuta kwenye hizi ndoa!

stop%20digging.jpg
...kama 'uteja' vile....ukiacha unapoteza raha-raha na mahanjam yake!
 
na kwako pia Laaziz....nilijua umenimwaga/umeshanitenda jamani....c unaona mapenzi yenyewe ya cku hizi, hofu tele kwa moyo...hahahahaha

Hapana laazizi siwezi kukutenda! Hao wengine wanaigiza tu, mapenzi tunayajua mimi na wewe tu hapa duniani! Itabidi tufungue ''twisheni'' ya mapenzi, huwezi kujua, twaweza kutengeneza pesa atiii!!
 
...na wengine wana sifa zote hizo tatu. Kwenye mambo haya hakuna kosa kubwa au dogo,...ni vile mwenyewe unajipimia 'kwa kidole' maji yana umoto kiasi gani kabla ya kutia mguu!
Mie nimeridhika nahisi, kwa sasa vipimo tena naona nishapitwa, nishakula nyundo zangu theluthi ya karne mengine namwachia Mungu, naomba tu anipe maisha marefu na afya njema, nione wanangu wanakuwa, wanagraduate, wanaoa olewa,im ready to sacrifice my happiness for them to be happy.......Mbu unafikiri, wakati mwingine tunakubali yaishe
 
Nyamayao, we acha tu..... kila mtu na zigo lake, hayakwepeki hata, kuna sista angu alimwacha mumewe kwa ajili ya mineno , akaolewa na mpigaji sana, akamwacha sasa hivi yuko na mwanaume ni kiwembe hapo ndio katulia tuliiii haambiwi kitu, kila mtu na maisha yake

huyu nae hajakata tamaa ya kuolewa, hiyo ya pili ilitakiwa iwe fundisho kwake atulie alee watoto sasa.....kweli mapenzi upofu, kadondokea pua haswa.....
 
Back
Top Bottom