Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Kwa habari ya uzinzi ndoa yaweza vunjwa..dada vigezo umevipanga vizuri..ili kuepuka yoote haya huyo mwenzi kabla ya ndoa ni vizuri umchunguze ktk; anahofu ya Mungu?,ni ideal kwako?,umri na elimu je?,mahusiano na wazazi wake je? nk..lizzy bila ya vetting kwa watarajiwa..ndo malalamiko haya yasiyoisha ktk ndoa/mahusiano..
May be,
Stringent vetting kwenye ndoa inaweza kuwa imekaa kinadharia zaidi!! Naamini kuna watu wamefanya vetting ya nguvu na kwa gharama kubwa sana lakini wameishia kusambaratika kabla ya first anniversary!!
Hadi sasa sina hakika ni variables gani ambazo kwa kiasi kikubwa (strongly and reliably) zinaweza kutabiri (predict) mstakabali wa ndoa!!
Na umri huu, bado niko tayari kupigwa shule!!
Babu DC!